Hii ya Juzi jumapili… amekuwa puff puff 😮💨😮💨View attachment 2509880
Uumbaji wa Mungu ni binadamu kupitia madaraja kadhaa ya maisha kabla ya kidogo. Utopia, ujanani na uzee ni madaraja tunayopitia binadamu. Wengine hufariki wakiwa watoto, vijana na kuna wanaofikia uzee kabla ya kidogo.
Binadamu anapojitahidi kupambana na utaratibu wa Mungu huwa inamgharimu sana. Huyu mama ametengeneza sura mpaka imebadilika kabisa kutoka sura yake ya asili.
Hii ni picha ya mwezi juu wa pili 2023 akiwa kwenye Grammy Awards..
Uyu Bibi akikupa mbususu unatafuna?Huwzi kupambana na asili huo ni uso tu umekuwa mzito kama uji😂😂
Uyu Bibi akikupa mbususu unatafuna?
Haaaahaaa teh teh teh acha tu mkuuuuuHuwzi kupambana na asili huo ni uso tu umekuwa mzito kama uji[emoji23][emoji23]
Masugggery hayoHii ya Juzi jumapili… amekuwa puff puff [emoji50][emoji100][emoji50][emoji100]
Jambo linalonishangaza, afrika hasa tanzania mtu akifikisha miaka 60 hivi anaanza kujiandaa na kufa wakati huko mtu ana miaka 70 ndio kwanza anakuwa na ndoto za kuwa raisi.View attachment 2509880
Uumbaji wa Mungu ni binadamu kupitia madaraja kadhaa ya maisha kabla ya kidogo. Utopia, ujanani na uzee ni madaraja tunayopitia binadamu. Wengine hufariki wakiwa watoto, vijana na kuna wanaofikia uzee kabla ya kidogo.
Binadamu anapojitahidi kupambana na utaratibu wa Mungu huwa inamgharimu sana. Huyu mama ametengeneza sura mpaka imebadilika kabisa kutoka sura yake ya asili.
Hii ni picha ya mwezi juu wa pili 2023 akiwa kwenye Grammy Awards..
Kina Lwiza Mbutu tunazeeka yeye anazidi kuwa kijana kila leoView attachment 2509880
Uumbaji wa Mungu ni binadamu kupitia madaraja kadhaa ya maisha kabla ya kidogo. Utopia, ujanani na uzee ni madaraja tunayopitia binadamu. Wengine hufariki wakiwa watoto, vijana na kuna wanaofikia uzee kabla ya kidogo.
Binadamu anapojitahidi kupambana na utaratibu wa Mungu huwa inamgharimu sana. Huyu mama ametengeneza sura mpaka imebadilika kabisa kutoka sura yake ya asili.
Hii ni picha ya mwezi juu wa pili 2023 akiwa kwenye Grammy Awards..
The Most famous doctor in the world ana miaka 57 now..ila huyu kama kazeeka flani ghafla baada ya kufanyiwa operation mwaka juzi.Jambo linalonishangaza, afrika hasa tanzania mtu akifikisha miaka 60 hivi anaanza kujiandaa na kufa wakati huko mtu ana miaka 70 ndio kwanza anakuwa na ndoto za kuwa raisi.
Akina diddy mpaka leo wanaonekana wana nguvu sio wazee, wangekuwa tz wazee kabisa wale wanakaribia kustaafu wakalee wajukuu.
Miaka 64Ana umri gani kwa sasa?
Tunaamini maandiko ya Mungu kuwa umri wa mwanadamu ni miaka 70, ukijitahidi kwa neema yake Mungu ni miaka 80, kwa hiyo lazima tuwaze kufa, kwanza ni wachache sana wanaofikia hiyo miaka 60.Jambo linalonishangaza, afrika hasa tanzania mtu akifikisha miaka 60 hivi anaanza kujiandaa na kufa wakati huko mtu ana miaka 70 ndio kwanza anakuwa na ndoto za kuwa raisi.
Akina diddy mpaka leo wanaonekana wana nguvu sio wazee, wangekuwa tz wazee kabisa wale wanakaribia kustaafu wakalee wajukuu.