Madonna anajitahidi kupingana na uzee

Madonna anajitahidi kupingana na uzee

Hivi Vijana WA kike Mbona huwa mnaumia sana Mama zenu wakipendeza? Mtu ana Pesa yake nafsi yake inafurahi akijipenda wewe unaumia Nini? Uzee ni Baraka siyo wote wanafika huko. Hongera sana Madonna keep on Loving yourself. Wacha waumie,Wasio na Pesa ya kujipodoa
 
Yaani hapo ndio anatabasamu? Uuweeh!
 
View attachment 2509880

Uumbaji wa Mungu ni binadamu kupitia madaraja kadhaa ya maisha kabla ya kidogo. Utopia, ujanani na uzee ni madaraja tunayopitia binadamu. Wengine hufariki wakiwa watoto, vijana na kuna wanaofikia uzee kabla ya kidogo.

Binadamu anapojitahidi kupambana na utaratibu wa Mungu huwa inamgharimu sana. Huyu mama ametengeneza sura mpaka imebadilika kabisa kutoka sura yake ya asili.

Hii ni picha ya mwezi juu wa pili 2023 akiwa kwenye Grammy Awards..
Hiyo Graphics ya Daily Mail??

Ila Waingereza ni Kama walituambukiza UMBEYA, UDAKU na LAWAMA.

Ni mafundi wa hivi vitu
.
 
Kuna mavazi ya ujana
Screenshot_20230208-183825.png

Sisi wabongo ndio tuna mitazamo hiyo..unamjua huyo☝️?
 
Jambo linalonishangaza, afrika hasa tanzania mtu akifikisha miaka 60 hivi anaanza kujiandaa na kufa wakati huko mtu ana miaka 70 ndio kwanza anakuwa na ndoto za kuwa raisi.
Akina diddy mpaka leo wanaonekana wana nguvu sio wazee, wangekuwa tz wazee kabisa wale wanakaribia kustaafu wakalee wajukuu.
Umasikini ndio tatizo afrika ya nchi masikini.

Imagine mtu anafika miaka 45,50 au 60 bado pa kukaa pa kudumu hana anafikiria kiinua mgongo ndio ajengee baada ya hapo hajui ataishi vipi!, bado ana familia kubwa inamtegemea na hivi waafrika tunapenda extended family ni stress tupu, alipe ada za watoto na kusaidia ndugu, kula nayo wasiwasi, anafikiria akistaafu familia yake itaishije!

Trust me...leo hii ukiona mtu mzima sana anafanya mazoezi pembezoni mwa barabara basi jua kama si mgonjwa wa kisukari basi familia yake ina ustawi sana au kiasi au bado muajiriwa, hivyo kuhusu kula, pa kulala na kujitunza sio tatizo, lakini kama ndio hawa hali dhofu ilihali hana time ya kufanya mazoezi hana ataweza kufanya mazoezi wakati mfukoni hana kitu haujui watakula nini nyumbani!

Otherwise wengi utawaona vibarazani kwenye viti vya kulala na miwani wakishangaa wapita njia ndio maana wanakufa kwa upweke kwasababu ya kufulia, wanakuwa wazee wa kanisa, lakini akiwa nazo ataenda kucheza gofu, ataenda Zanzibar kutembea au popote kurefresh mind, atakula vizuri sana, hata afya yake itakuwa imara, atafuata ushauri wa daktari aishi vipi na ale nini na asile nini, bima yake ni ya uhakika atatibiwa hospital nzuri zenye wataalamu wabobezi, ndugu zake hawatakauka kumtembelea kwake, atapima afya yake mara kwa mara...nk

Sasa wewe mtu bima tu ya wasiwasi, kula wasiwasi, anakula vizuri mwisho wa mwezi mwanzoni wa mwezi anakula ilimradi ashibe tu, kusomesha wasiwasi, pa kukaa wasiwasi, aendi hospital mpaka haumwe tena akiumwa kichwa tu anameza panadol au dawa tatu na maji yasiyo salama, mikopo kila mahali mpaka kwa mangi dukani.... "atakosa kufikiria kufa baada ya kustaafu [emoji848]
 
Meanwhile, her compeer Tony Blaxton still looks fresh as 28. Surely Black Don't Crack....
 
Back
Top Bottom