Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wake zetu hawa ndiyo wanawaharibu siku hizi! Hii kitu ndiyo sababu kuu ya kuvunjika ndoa nyingi uzeeni. Kwa bahati mbaya haya si maisha maana madona akifika 80 huyu dogo analianzisha na mwingine. Vile vile kwa sie akinababa ukichukua dogo dogo hakuna futurehttps://i-dailymail-co-uk.cdn.amppr..._Williams_were_spotted-m-56_1628967589531.jpgView attachment 1892697
Tafuteni pesa, uzee mwisho Chalinze
Ukijua historia ya Madonna haya hayatakusjmbua. Tangu akiwa nyota miaka ya 80-90 alipenda sana sex. Hawezi kudate hata mwanaume wa 40’s huyu mama damu inachemka.Wake zetu hawa ndiyo wanawaharibu siku hizi! Hii kitu ndiyo sababu kuu ya kuvunjika ndoa nyingi uzeeni. Kwa bahati mbaya haya si maisha maana madona akifika 80 huyu dogo analianzisha na mwingine. Vile vile kwa sie akinababa ukichukua dogo dogo hakuna future
Ukijua historia ya Madonna haya hayatakusjmbua. Tangu akiwa nyota miaka ya 80-90 alipenda sana sex. Hawezi kudate hata mwanaume wa 40’s huyu mama damu inachemka.
Kwaiyo mama bado na umri huo anapenda gwaride😆😆 naomba mnisaidie kidogo kuhusu wamama eti wanasema wamama wakishafika menopause ile libido inapungua au Aya mambo tunadangangaywa sisi huku weusiUkijua historia ya Madonna haya hayatakusjmbua. Tangu akiwa nyota miaka ya 80-90 alipenda sana sex. Hawezi kudate hata mwanaume wa 40’s huyu mama damu inachemka.
Once aliwahi fungwa kamba mikononi na miguuni akipigwa na kudhalilishwa na aliyekua mpenzi wake. Ingawa kilichotokea kingeweza pelekwa mahakamani kwakua kimefuzu kua 'abduction' Madonna hakutaka hilo swala lifike mahakamani.Ukijua historia ya Madonna haya hayatakusjmbua. Tangu akiwa nyota miaka ya 80-90 alipenda sana sex. Hawezi kudate hata mwanaume wa 40’s huyu mama damu inachemka.
Wewe humjui madona, yaani hadi afike miaka 80 bado yupo na hiko kiserengeti! Hapo atakuwa kashabadili viserengeti kama vinne hiviWake zetu hawa ndiyo wanawaharibu siku hizi! Hii kitu ndiyo sababu kuu ya kuvunjika ndoa nyingi uzeeni. Kwa bahati mbaya haya si maisha maana madona akifika 80 huyu dogo analianzisha na mwingine. Vile vile kwa sie akinababa ukichukua dogo dogo hakuna future
Hii ni personal issue, hata wanaume wengine wanaanza ukicheche baada ya kustaafu. Siwezi ku generalise wanawake wote.Kwaiyo mama bado na umri huo anapenda gwaride😆😆 naomba mnisaidie kidogo kuhusu wamama eti wanasema wamama wakishafika menopause ile libido inapungua au Aya mambo tunadangangaywa sisi huku weusi
Hako kavulana ndio kanamkojozahttps://i-dailymail-co-uk.cdn.amppr..._Williams_were_spotted-m-56_1628967589531.jpgView attachment 1892697
Tafuteni pesa, uzee mwisho Chalinze
Hutaki uzeee, anapenda mwendokasi hataki round ikawie sana, kusingizia kazi nyingiUkijua historia ya Madonna haya hayatakusjmbua. Tangu akiwa nyota miaka ya 80-90 alipenda sana sex. Hawezi kudate hata mwanaume wa 40’s huyu mama damu inachemka.
Hahahhh nimecheka damu inachemka.. pesa nzuri kha!Ukijua historia ya Madonna haya hayatakusjmbua. Tangu akiwa nyota miaka ya 80-90 alipenda sana sex. Hawezi kudate hata mwanaume wa 40’s huyu mama damu inachemka.
Hata mimi huwa sipendi Wanawake waliokwenda umri.Ukijua historia ya Madonna haya hayatakusjmbua. Tangu akiwa nyota miaka ya 80-90 alipenda sana sex. Hawezi kudate hata mwanaume wa 40’s huyu mama damu inachemka.