Madonna ni bilionea now,kaka yake ni homeless lol

Hao ndo wazungu mkuu hawana mambo za kichagga kusaidiana ukoo mzima.
Yupo radhi akaasili mtoto nje.
 
Hao ndo wazungu mkuu hawana mambo za kichagga kusaidiana ukoo mzima.
Yupo radhi akaasili mtoto nje.

Homeless wa kujitakia...aache pombe kwanza ajue nae kutafuta pesa. Kama umesoma vizuri huyo bwana keshalipiwa mara nyingi na madonna kwenda rehab. Sometimes you have to let things go..........maana kila mtu analimit. Sio ufanye machafu expecting your siblings coz they have bucks to support you no matter!

Sio madonna tu hata mimi ningempandishia vioo.

cc The Boss
 
Last edited by a moderator:

sawa kabisa MadameX
 
Last edited by a moderator:
kwenye dini yetu Madonna akifa huyo kaka yake lazima apate urithi wa _% tena zaidi ya watoto wa marehemu!
 


kama sikosei na wewe pia uliwahi leta thread kuhusu ndugu yako
ambae habebeki but still ulikuwa unataka kumsaidia

wewe ungeweza kumfungia ndugu yako vioo yeye alale barabarani?
au unashabikia tu wengine?
 
kama sikosei na wewe pia uliwahi leta thread kuhusu ndugu yako
ambae habebeki but still ulikuwa unataka kumsaidia

wewe ungeweza kumfungia ndugu yako vioo yeye alale barabarani?
au unashabikia tu wengine?
Wauliza jibu tena...nilishapandisha vioo zamami. Salamu na kujuliana hali kupo lakini msaada ya kijinga na ikiwa yeye mtu mzima na afya kamili kwakweli nimemwacha dunia imfunze kidogo.

Siwezi beba gunia la misumari ingali ni kipara. Hivyo some people need to learn the hard way
 

Watu mna roho ngumu lol
mimi ndugu yangu ntahakikisha analala pazuri na kula vizuri tu
only pesa za matanuzi ndo simpi....but siwezi kuruhusu awe homeless..
 
Huyu Janet anauza nini lakini...miziki yake ilipotea zamani zaidi ya miaka kumi hajafika top of the chart. Hata acting career pia imemtupa kiaina.....im just wondering? ???

Ana mashabiki wake die hard fans
so alipotangaza tour ya from state to state walijitokeza weengi
aliingiza zaidi ya millioni 400 dollar
halafu kaolewa na bilionea wa kiarabu
na dili nyingine ndogo ndogo za online music na kadhalika
but still na yeye alikuwa anatolea macho pesa za kaka yake lol
pesa huwa hazitoshi always lol
 



Hao Forbes wanapenda tu 'monopoly' na kujifanya wao ndo 'the right' source
my point ni kuwa hawa ni rich enough kuwa mabilionea in dollars
sio lazima wawe mabilionea according to forbes
but ni mabilionea
forbes sio peke yao wenye 'hakimiliki' ya kufanya estimate za utajiri wa watu
na nilichokuwa nakujibu wewe ni kuwa siku maanisha in tshilings na wala sijui nini maana ya kuwa
bilionea
i simply said to you....kuwa for whatever source,sio mimi nilioanzisha story ya kuwa hawa ni billionaires
hii story ipo Marekani pia.regardless kama Forbes wanakataa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…