Super Villain
JF-Expert Member
- Jan 2, 2019
- 9,391
- 21,045
- Thread starter
- #21
Kwahiyo sio bibi huyo nikijana mwenzie 😆😆😆 kabisa bado anashawishi?Kama hii picha ndio alivyo sasa,basi umri sio issue kabisa.
macson
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo sio bibi huyo nikijana mwenzie 😆😆😆 kabisa bado anashawishi?Kama hii picha ndio alivyo sasa,basi umri sio issue kabisa.
macson
Mtamu kabisa huyo mkuu[emoji2][emoji2]Kwahiyo sio bibi huyo nikijana mwenzie [emoji38][emoji38][emoji38] kabisa bado anashawishi?
Acha wivu mkuu,Huyu Madonna hata akifikisha miaka 80 atakuwa bado anachukua under 30 tu. Ana mihela na vijana wanataka mseleleko, acha awanyonyeshe mamvi tu.
Kaseema naani na hela zote hizo na nguo utafuliwa na mama mkweKibongo bongo noma hii mzee hakuna father atakaye kubali akijua mwanaye anatembea na bibi kama huyo.
😂😂😂😂
😂😂😂 hata na ww ukipewa unatafuna tu.
Kwa wazungu lakini sio huku kwetu Africa.Love is the choice,
love is not a side effect of luck,love is a posture.
Kwa wazungu lakini sio huku kwetu Africa.
naunga mkono hoja, hata ukiangalia sura ya huyo kijana kwenye hizo picha mbili ni kama kuna ka-ujumbe flani unakapata.....pengine ndivyo alivyo lakini.Sir_Mimi,
Sidhani kama kuna serious relation hapo. Kijana ana ndoto nyingi; atataka watoto nk, hatodumu sana hapo.
nikutoe wasiwasi, ziko njema kabisa labda huyo 'maza' wenu alikuwa mchafu tu!Wanawake wa Kizungu tabia zao mbaya sana, kumvulia €hü¶! mtoto sawa na mjukuu wako huko ni kujitoa ufahamu.
Huyo dogo naye anamuangaliaje maana wabibi huko chini kunatisha kweli kweli
Nakumbuka early 2000 kipindi hiko nakua ndiyo najifunza uhuni, tulipiga chabo guest moja Manzese tukakutana na scene ya maza wa mshkaji wetu anakazwa, aisee kuna namna ilitokea wakataka kukaa style moja sasa bahati mbaya ikatokea tukaziona sehemu zake aisee zilikuwa zinatisha.
Ule usemi kwamba ukiangalia nyeti za watu wazima utapofuka niliziamini maana nilipigwa wenge moja matata sana wiki nzima nikawa sijielewielewi.
Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk