Uwe unaweka magoli ndugu.Naona sikuhizi anapigika vizuri tu,tatizo sielewi nini,msimu huu akijitahidi sana hatua ya 16 bora,na mikeka yetu ndio usiseme kabisa
Tena iwe under 5.5 na over 0.5 japo hata hii sometime inachana vilevile japo ukiwa makini kanji utamla sana kuliko anavyokukula weweUwe unaweka magoli ndugu.
Alikuwa Bora akiwa Chelsea ndo maana Madrid walimsajili kwa paund mil 130 bahati mbaya Chelsea na Madrid wanauziana mikosi mfano courtios na sasa hiv hazardHazard hajawahi kuwa Mchezaji mzuri zaidi ni kimbia kimbia zisizo na maana
Sinema zetuWanaonyesha channel gani?