Madrid anatuchania Sana mikeka

Madrid anatuchania Sana mikeka

Madrid,man u,chelsea sio timu za kufanya nazo biashara mkuu
 
Bet magoli mkuu, direct win ni MTIHANI aisee. Nenda na over au under
 
Ukiona umeliwa jua kua umemneemesha mwingine,bet ni mchezo wa masikini kumchangia masikini mwingine huku muhusika "Muhindi" yeye akipiga faida tu kupitia mzunguko wa hizo hela!
 
Mara nyingi mm huwa naziuwa timu kubwa
Screenshot_20191002-081521.jpeg
 
Hazard hajawahi kuwa Mchezaji mzuri zaidi ni kimbia kimbia zisizo na maana
 
Back
Top Bottom