Madrid Na Man City Kuingia Vita Ya Dunia Kwa Mbappe Rekodi Yake Itachukua Miaka Mingi Kuvunjwa

Kweli mkuu hawa waarabu si wa mchezo, nadhani Barca hawana hamu nao kabisa kwa hii issue ya Neymar.
 
Ivi kuna mchezaji ambae akitakiwa na real madrid na man city akachugue Man city?

Yani hawa Man City wasitegemee kitu kama icho
 
Neymar jr kishavunja rekodi tayari itachukua almost zaidi ya 10 years kuivunja
 
Issue ya Yeymar nilijua utani tu jamaa kumbe wako seriously daaa najua after 5 years anaelekea epl
Inawezekana maana after 5 yrs atakuwa kwenye 30s na hawataweza kumpa mega deal tena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…