Franky Samuel
JF-Expert Member
- Oct 10, 2018
- 5,195
- 13,785
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1][emoji1][emoji1] Mnawacheka Marumo kupigwa 4 na Yanga hawa Madrid vipi? Ukiingia kwenye mfumo wa timu bora haijalishi ukongwe wako watu wanakutandika tuuh. Madrid kapigwa 5 na timu bora kwasasa barani Ulaya.