Maduka kufungwa nani alaumiwe?

tufahamishane

Member
Joined
Jun 22, 2024
Posts
28
Reaction score
30
Mugomo ulioanza Jana Dar es salaam sasa umefika jijini kwanza Leo maduka yote makubwa ya mefungwa. Jijini kwanza.

Kusema kweli huu si utamaduni wetu.watanzania wafanya biashara wanadai haki zao. Selikari nayoinatimiza wajibu wake swali ni Je Nani anawajibika kuleta suruhu la kudumu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…