Maduka mengi ya wabongo guarantee yao ni za michongo bora kununua kitu kwa wahindi au waarabu

Maduka mengi ya wabongo guarantee yao ni za michongo bora kununua kitu kwa wahindi au waarabu

OGOPA SANA HAWA WATU WEUSI TIIIIIIII NI HATARI HAWATAKAGI KUPATA HASARA KWENYE BIASHARA ZAO WANATAKA FAIDA TU DAILY
Shida ya sisi weusi ni ufanisi.......hata umkute Engineer aliyebobea sana bado mambo yake anayofanya yanakuwna na kasoro nyingi zinazoepukika.

Hatuna utamaduni wa kufanya at kitu at excellence level.

Ndio maana hata wazungu wakija mfano Hotel industries wanaona vitu vya ajabu sana kwetu. Wakilalamika tunawaita hawaridhiki lakini kiukweli sisi weusi tunazingua sana
 
Tabia za wabongo zinasadifu mwenendo wa tabia za watu wengi katika mfumo mzima wa maisha iwe siasa, biashara, shughuli za kijamii.

Nilienda duka moja kununua Multicooker bei yake ilikua 110,000/-

Nikaulizia warranty, majibu niliyopewa ni haya;

Hatutoi warranty kwa vitu vidogo

Nikabaki na mshangao kwamba 110k ni pesa ndogo haina haja ya kulindwa kwa uzembe wa Manufacturer?


Na watanzania wengi ni wepesi sana wa kulalamika ila wagumu sana kutenda haki au kuwajibika pale inapowapasa kufanya hivyo.
 
Wabongo walio wengi wazuri kwenye kuuza vyakula matunda mbogamboga za majani etc huko kwingine kimbia toka nduki utaumia 🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Sina maana ya shida/changamoto za kibinadamu! Nlitaka kumaaanisha kama umenunua bidhaaa kwao then ikaleta shida huwa hawana blah blah nyingi wataplay part yao bila kuleta janja janja zao
Wanafanya hivyo sbb kilichowaleta huku ugenini ni kutafuta tu kwa means zozote, hiyo ikiwamo (customer care)
 
Hao ni matapeli, kama una muda fanya mchakato uwafikishe kwenye vyombo vya Sheria.

Ila kabla hujaenda kuwashitaki, make sure unacholalamika ni kweli na ni haki yako Mkuu.


UTAPELI NAO NI WIZI TU!



KaziKweliKweli/JobTrueTrue
 
Me nimenunua TV na nikatest ile nafika nyumba nawasha ilichukua masaa mawili tuu ikachora mstari huku picture inashake shake, nikasema ngoja niwarudishie ile nawarudishia wakaanza kusema eti itakua umeangusha au wakati unarudi ilitumia usafiri gani? Yaani walishaanza kuniwekea kipingamizi mwishowe wakaingiwa na imani wakanibadilishia ingawa ilikua kinyonge sana......
 
Me nimenunua TV na nikatest ile nafika nyumba nawasha ilichukua masaa mawili tuu ikachora mstari huku picture inashake shake, nikasema ngoja niwarudishie ile nawarudishia wakaanza kusema eti itakua umeangusha au wakati unarudi ilitumia usafiri gani? Yaani walishaanza kuniwekea kipingamizi mwishowe wakaingiwa na imani wakanibadilishia ingawa ilikua kinyonge sana......
watz ni wababaishaji sana mkuU
 
Wanafanya hivyo sbb kilichowaleta huku ugenini ni kutafuta tu kwa means zozote, hiyo ikiwamo (customer care)
Wahindi sio wawekezaji, ni raia kabisa wa Tanzania ni sawa na Black America kule Marekani. usiwatetee ngozi nyeusi
 
Wahindi sio wawekezaji, ni raia kabisa wa Tanzania ni sawa na Black America kule Marekani. usiwatetee ngozi nyeusi
sidhani kama nawatetea wamatumbi wenzako, ukishakuwa minority kwenye jamii ya ugenini lazima utafanya vizuri ili uweze kuishi, Wahindi walikuja huku kwetu kufanya biashara tu, sio kutafuta viwanja vya kuishi mkuu. Hawa watoto wao bado ni wafanyabiashara na ethics zile zile za babu zao. Habari za uraia tupa kule sababu siyo agenda ya uzi huu.
 
Back
Top Bottom