Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Wanakwambia IPHONe Mpya ndani ya BoxHii ni kweli kabisa mkuu. Halafu wabongo ni rahisi kukubambikia bidhaa feki au iliyoisha muda kuliko wahindi au wachina. Mhindi au mchina atakuambia ukweli ili uchague mwnyewe, sio mbongo. Wabongo ni mbwa!
Shida ya sisi weusi ni ufanisi.......hata umkute Engineer aliyebobea sana bado mambo yake anayofanya yanakuwna na kasoro nyingi zinazoepukika.OGOPA SANA HAWA WATU WEUSI TIIIIIIII NI HATARI HAWATAKAGI KUPATA HASARA KWENYE BIASHARA ZAO WANATAKA FAIDA TU DAILY
Hahaha tutakimbiwa kwenye biashara zetu sababu ya rangiWeusi Tiiii
Mimi vifaa vyote bora vya electronics ni moja kwa moja Posta iwe simu, laptop n.k. regardless of the cost hata iwe earphones.Niliacha kununua bidhaa Kkoo nanunua Posta na maduka ya Masaki/Oysterbay.
Wanafanya hivyo sbb kilichowaleta huku ugenini ni kutafuta tu kwa means zozote, hiyo ikiwamo (customer care)Sina maana ya shida/changamoto za kibinadamu! Nlitaka kumaaanisha kama umenunua bidhaaa kwao then ikaleta shida huwa hawana blah blah nyingi wataplay part yao bila kuleta janja janja zao
ilikuaje mkuu...?Hii ilinikuta kwenye PC Sina hamu aiseee
watz ni wababaishaji sana mkuUMe nimenunua TV na nikatest ile nafika nyumba nawasha ilichukua masaa mawili tuu ikachora mstari huku picture inashake shake, nikasema ngoja niwarudishie ile nawarudishia wakaanza kusema eti itakua umeangusha au wakati unarudi ilitumia usafiri gani? Yaani walishaanza kuniwekea kipingamizi mwishowe wakaingiwa na imani wakanibadilishia ingawa ilikua kinyonge sana......
Ni huu umaskini uliotutamalaki mpaka kwenye Ubongo.watz ni wababaishaji sana mkuU
kivipi mkuu au nawe ni dalali piANi huu umaskini uliotutamalaki mpaka kwenye Ubongo.
Wahindi sio wawekezaji, ni raia kabisa wa Tanzania ni sawa na Black America kule Marekani. usiwatetee ngozi nyeusiWanafanya hivyo sbb kilichowaleta huku ugenini ni kutafuta tu kwa means zozote, hiyo ikiwamo (customer care)
sidhani kama nawatetea wamatumbi wenzako, ukishakuwa minority kwenye jamii ya ugenini lazima utafanya vizuri ili uweze kuishi, Wahindi walikuja huku kwetu kufanya biashara tu, sio kutafuta viwanja vya kuishi mkuu. Hawa watoto wao bado ni wafanyabiashara na ethics zile zile za babu zao. Habari za uraia tupa kule sababu siyo agenda ya uzi huu.Wahindi sio wawekezaji, ni raia kabisa wa Tanzania ni sawa na Black America kule Marekani. usiwatetee ngozi nyeusi