MADUKA YA JUMLA

MADUKA YA JUMLA

GUI1

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2017
Posts
4,007
Reaction score
5,290
Wadau habari za usiku,

Naomba kuuliza yalipo maduka ya jumla Dar es Salaam yanayo uza vifaa kama vile vitasa, kalamala (galamala), miko ya ujezi, pima maji, makomeo, makufuli aina mbali mbali, kamba manila za ujezi na manila kubwa zinazo tumika kufungia ng'ombe e. t.c.
Natanguliza shukrani
 
Back
Top Bottom