KERO Maduka ya spea za magari yageuka kuwa gereji bubu

KERO Maduka ya spea za magari yageuka kuwa gereji bubu

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

MKEHA

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2013
Posts
716
Reaction score
1,143
Kuna ongezeko kubwa sana la wenye maduka ya spea za magari na pikipiki kuwa gereji bubu huku mitaani.

Sijui NEMC hawaoni hili kuwa tatizo sugu mbeleni. Uchafu wa oil na mafuta ya motokaa umekuwa kama suala la kawaida mitaani kila sehemu.

Mpaka viumbe wa majini kama samaki, vyura na wengine watapotea Kwa uzembe wetu. Udongo nao umeanza kuwa mweusi kila mahali.

Siku si nyingi mitaani kutakuwa na land degradation ya kufa mtu, hata mimea tuliozoe mitaani itatoweka kuirudisha itakuwa kwa gharama sana.

Shime kwa mamlaka za nchi tuzibe ufa kabla ya kujenga nyumba mpya kwa gharama kubwa sana
 
Kuna ongezeko kubwa sana la wenye maduka ya speak za magari na pikipiki kuwa gereji bubu huku mitaani. Sijui NEMC hawaoni hili kuwa tatizo sugu mbeleni. Uchafu wa oil na mafuta ya motokaa umekuwa kama suala la kawaida mitaani kila sehemu. Mpaka viumbe wa majini kama samaki, vyura na wengine watapotea Kwa uzembe wetu. Udongo nao umeanza kuwa mweusi kila mahali. Siku si nyingi mitaani kutakuwa na land degradation ya kufa mtu, hata mimea tuliozoe mitaani itatoweka kuirudisha itakuwa kwa gharama sana. Shime kwa mamlaka za nchi tuzibe ufa kabla ya kujenga nyumba mpya kwa gharama kubwa sana
Haya ndo madhara ya kusome degree za environment science na kukosa ajira.......
 
Hoja yako umeidirect NEMC au TRA? Hujatoa ushauri. Suggest nini kifanyike e.g tutumie oil nyeupe, tupunguze vyombo vya moto, tutumie vyombo vya kuchaji etc. Una point nzuri ila ina mapengo mapengo
 
Tanzania ilishashindikana

Maeneo ya wazi tu yote wamepewa watu wa garage babu wapige kazi watoto na watu wazima hawana sehemu ya kupumzikia,kufanya mazoezi nk

Ova
 
Mbona kaongea fact mwenzako
We unafikiri hamna ecosystems za kusafisha aridhi na na ku-purify maji machafu naturally anafikiri Oil imeanza kutimika jana au is just misallocating his academic materials due to lack of employment
 
We unafikiri hamna ecosystems za kusafisha aridhi na na ku-purify maji machafu naturally anafikiri Oil imeanza kutimika jana au is just misallocating his academic materials due to lack of employment
Oaa weee ngoja nile kwanza..
Nakuja kubishana na wewe sio mda
 
Oaa weee ngoja nile kwanza..
Nakuja kubishana na wewe sio mda
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23]mkuu siko tayari kubishana na mtu, mimi hoja yangu ni kwamba Yanga itaweza kuingia robo fainali ya kilabu bingwa
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23]mkuu siko tayari kubishana na mtu, mimi hoja yangu ni kwamba Yanga itaweza kuingia robo fainali ya kilabu bingwa
Ngoja nimalize kula kwanza maana umenikera 😬😬😬😬
 
Back
Top Bottom