Maduka ya Uchumi walipofunga TZ, mlishabikia sana humu, sasa na hawa wengine mnawacheka?

Maduka ya Uchumi walipofunga TZ, mlishabikia sana humu, sasa na hawa wengine mnawacheka?

Investors wengi wanaoleta supermarkets Bongo hawana uelewa wa soko la Bongo.Kwa hiyo kwa njia moja ama nyingine kufeli is inevitable mfano rahisi Ckeki position ilipo Nakumatt pale Kamata right next to Kariakoo! How does it survive ???
 
Wabongo sisi ni washamba na wezi tuu
Shika adabu yako kama wewe mwizi na mshamba basi sema mimi usituingize wote
Heshimu watu bana huwezi tukana mpaka wazazi wako kwa kuwaingiza kwenye kashfa hii
Nyambafu we
 
Bongo sa hivi kama umeusoma mchezo unakula noti tu ila kama ndo mzee kwa kuskilizia slope kama kipindi kile mara connection lazima ulie tu.......halaf supermarket huku sijaonaga umuhimu wake kabisa zaid watu wanaenda kupiga picha tu na kula vi ice cream kama mahitaji masoko yako kibao na yanauza vitu fresh na bei rahisi tu hizo wazifunge tu
 
Geza,saidia kkumbusha hawa vilaza kwamba hats Uganda ilifungwa.Article by nyangau na posted by nyangau,nothing new.
Waache wajifariji ilianza Deacons, wakaja Uchumi na sasa Nakumatt. Nasikia Naivas na Tusky wanataka kujaribu wembe wa kuwanyoa tunao. Nawapa miaka 5 watafungasha virago[emoji115] [emoji23]
 
Kwanza hata Bongo ni nchi maskini...sijui investors huwa wanapeleka nini kule...GDP ya $47B na per capita ya $700 hapo hakuna pesa....ndio maana zinafungwa sababu ya low profitability..ukitaka profits kubwa bila shaka nenda South Africa, Nigeria Morocco ama Egypt...Kenya pia ni sawa kwa investors sababu if yo
control Kenya you control the whole of East Africa lakini Tanzania ni kama tu kukimbiza mkia wako...


we ni mpuuzi sana. na bado Odinga kawashika mwaka huu..lazima mchinjane na ukabila wenu
 
Bongo sa hivi kama umeusoma mchezo unakula noti tu ila kama ndo mzee kwa kuskilizia slope kama kipindi kile mara connection lazima ulie tu.......halaf supermarket huku sijaonaga umuhimu wake kabisa zaid watu wanaenda kupiga picha tu na kula vi ice cream kama mahitaji masoko yako kibao na yanauza vitu fresh na bei rahisi tu hizo wazifunge tu
hujaona umuhimu supermarket..duuu
 
Ni upuuzi kuombea uchumi wa jirani yako uharibike ilhali kwa namna moja au nyingine ni lazima itakuathiri tu upende usipende! And this goes to all sides..
 
Back
Top Bottom