MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
Kwa ujinga na ligi za kipuzi kuna Watanzania wakiona kampuni ya Kikenya iliyowekeza kwao imeanza kupata matatizo wanachekelea bila kujua matukio kama hayo huadhiri ajira za watu wao na uchumi wa nchi.
Kuna hii picha nimeiona mitandaoni hali sio shwari kwa Shppers trading, pi na wao wameamua kuachia, hali tete vyuma vimekaza kule.
Kuna hii picha nimeiona mitandaoni hali sio shwari kwa Shppers trading, pi na wao wameamua kuachia, hali tete vyuma vimekaza kule.