Maduka ya wauza perfume weng n ya wapogaji

Maduka ya wauza perfume weng n ya wapogaji

Jamiru

Member
Joined
Aug 18, 2020
Posts
91
Reaction score
315
Katika pitapita zangu nikakutana na duka moja la perfume na vipodozi , nikaingia kwaajil ya kuchukua mahitaji yang , sasa kuangaza nikaona perfume ya Hugo boss na bleu de chanel nikaomba anitolee kwaajil ya kuzikagua maaana mzigo wa Hugo boss nasikia ni bei mbaya sasa nikangalia unanukia poa lkn bei nikambia 35000/ maswali ya kaanza kuingia kichwan mwangu hv huu mzigo sio fake kwel au n mwenye duka kalewa jaman wadau hebu naombeni ushauri
 
Siku hizi kuna maduka mengi ya clone za kupima, nunua hizo ni nzuri sana na upigwaji ni mdogo

Sasa utasemaje ni mpigaji? kwani kakwambia kua hiyo ni OG au sio OG?
Wasiwasi wako ndio unakufanya kumuhukumu kua ni mpigaji?

Kwa hizo price hakuna OG hapo.
Hofu juu ya wauzaji wa perfume ni kubwa sn yangu nilipo nunua hio bleu de chanel kwa elfu 50 harafu ukijipulizia nakufunika chupa tu na harufu inaishia hapo ndugu yangu , niliumia week nzima
 
Back
Top Bottom