Maelekezo haya kwa Walimu wa Manispaa ya Ilemela yapo nchi nzima?

Maelekezo haya kwa Walimu wa Manispaa ya Ilemela yapo nchi nzima?

Mnasubiri nini KUGOMA mdai posho

Mechanical
Electrical
Wenye levo 3 za VETA Tpa mishahara yao inaanzia 1.6 lkn plus over time kwa mwezi wanakunja 2.8 M mpaka M3 hiyo ni take home hapo wanakuwa wameshakatwa kama laki tisa na kitu

Wana bima kubwaa mno

Alafu Umbwa mwalimu anapata take home Laki 6 [emoji23][emoji23]

●ukimuona mwalimu wa sayansi tambua kuwa alitaka kuwa Engineer au Dr but kutokana na UKAPUKULA akakimbilia UALIMUNI take home Laki 6 wategemezi 70
Poleni saana Wanangu WALIMUU hakika Maisha yenu ni Kama Yule muovu IBILISI

nikisema "WALIMU" mnaitikia kwa kubweka kama Umbwa
Ulichokipata wewe shukuru Mungu, ukija na kauli za kumwita mwenzio mbwa kwa kuwa unakipato kikubwa unakufuru Mungu, jiulize wote kwenu mnauchumi mkubwa? Kama sio je na hao wenye uchumi mdogo nao ni mbwa? Na wanajua kuwa unawaita mbwa? Jifunze Dunia haiko hivyo, na kama wenye kazi zenye kipato Cha juu wangeamua kutuita wenye kazi za kipato Cha chini mbwa basi wewe pengine ukikuwa kwenye kundi la panya.
 
Niende kwenye hoja!

Yamekuja maelekezo ya kusainisha waalimu mkataba ambao unamtaka kila mwalimu kufaulisha somo lake kwa asilimia 100. Hakuna mwanafunzi kufeli mtihani wa somo lake! Na kufeli kwao inaanzia B na sio F kama baraza la mitihani linavyo elekeza!

Je, Sikuhiz mwalimu ana sign mikataba miwili ya ajira?

Nimarufuku kutype scheme of work na lesson plans na kwamba zoote ziandikwe kwa mkono,
yaani wakati dunia inaenda digital, ilemela mwalimu anarudishwa analog, badala ya kusimplyfy kaz kuserve muda ili utumike pengine kuboresha taaluma tunaicomplicate kazi ili kumkomoa mwalimu🙃 kwamba hata notisi (nukuu) ziandikwe kwa mkono nimarufuku kukutwa na typed notse!

Sasa mpango kazi wa mwalimu uandikwe kwa mkono, je sylabus inayomuongoza mwalimu kuandaa mpango kazi huo husika kwanini wizara haijaziandaa sylabus hizo kwa mkono? Vipi kuhusu mithani pia wanayotunga waalimu kwanini nayenyewe kuanzia sasa wasiandike kwa mkono?? Tuachane kabisa na habari za kutype?? Turudi in 1990s?

Kwamba Mwalimu atoe majaribio mawili na maswali matano kila siku kwa wanafunzi woote.

Kwa wastani tuchukulie form one na two wanamasomo tisa so 9×5 = 45 hayo ni maswali kwa siku

45 × 5 = 225 hayo ni maswali kwa wiki!

Sijaenda form three na four, je hii imezingatia idadi ya wanafunzi kwa shule husika! Kuna shule form one wako 450 mpka 600 , kiuhalisia kuna mtu unaweza kusahisha maswali 225 kwa watoto 450 mpaka 600 kwa wiki, na bado uandae lesson plan kwa mkono??🙃 Na utambue weknes za watoto na kuwasaidia??

Nyie mlisoma hivyo? Je Mmewafikiria hawa watoto pia lwamba wafanye maswali 225 kwa wiki?? Na mnaona kabisa hilo ni archivable?

Kwa waalimu wa vidato vya pili na nne, mwalimu anapaswa kuotea ufaulu wa watoto, yaani mwalimu atabili ufaulu wa watoto wake anao wafundisha kwa mwaka, na nimarufuku kuweka utabili daraja C WOTE WAANZIE 'B' mpaka A! Hutakiwi kutabiri watoto watapata C, D na F 😂

So skuiz waalimu wanabeti kuhusu ufaulu wa watoto? Mwisho wasiku shule zikifanya udanganyifu kama pale thaqhafa mta shangaaa?

Kwamba Mwalimu anapaswa fanya kazi kwa muda wake binafsi yaani muda wa ziada bila kudai fedha ya kazi ya ziada😂😂 na anapaswa kuwa na maswali 100 ya kuwapa wanafunzi 😂😂 hivi hili hata kwenye sheria ya kazi linakubalika?

Sasa hii ni mikakati ya kuinua taaluma au ni mikakati yakuonekana mnainua taaluma. Nafikiri kunayo laana flani kwenye hii kada!

Kila mtu ni boss wa mwalimu

Kila mtu anauwezo wa kuwapa maelekezo waalimu!!

Na Je huu ndio msimamo wa nchi nzima kuhusu ELIMU? na je Upo waraka unaoelekeza haya?

Wahusika mpo tazameni haya! Kama mnaona yapo sawa haina shida!!
Haya 👇👇
 

Attachments

  • IMG_20230206_165232.jpg
    IMG_20230206_165232.jpg
    319.2 KB · Views: 4
Nimewahi fanya hiyo kazi kipindi cha nyuma huko as phy&math teacher tho it was out of my career......changamoto kubwa ya hiyo KAZI ni kuwa ina mabosi wengi
Wizara ya elimu,manispaa, mkurugenzi, maafisa elimu wilaya na mkoa mara mkuu wa wilaya sjui mkuu wa mkoa yaani karibia kila kiongozi mkubwa aweza kuja na maelekezo mapya kila siku
 
Mnasubiri nini KUGOMA mdai posho

Mechanical
Electrical
Wenye levo 3 za VETA Tpa mishahara yao inaanzia 1.6 lkn plus over time kwa mwezi wanakunja 2.8 M mpaka M3 hiyo ni take home hapo wanakuwa wameshakatwa kama laki tisa na kitu

Wana bima kubwaa mno

Alafu Umbwa mwalimu anapata take home Laki 6 [emoji23][emoji23]

●ukimuona mwalimu wa sayansi tambua kuwa alitaka kuwa Engineer au Dr but kutokana na UKAPUKULA akakimbilia UALIMUNI take home Laki 6 wategemezi 70
Poleni saana Wanangu WALIMUU hakika Maisha yenu ni Kama Yule muovu IBILISI

nikisema "WALIMU" mnaitikia kwa kubweka kama Umbwa
Kila mbuzi...... Wengine tunaulilia hata huo ualimu ni miaka Sasa tunazisaka ajira rasmi za kada hiyo

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Mnasubiri nini KUGOMA mdai posho

Mechanical
Electrical
Wenye levo 3 za VETA Tpa mishahara yao inaanzia 1.6 lkn plus over time kwa mwezi wanakunja 2.8 M mpaka M3 hiyo ni take home hapo wanakuwa wameshakatwa kama laki tisa na kitu

Wana bima kubwaa mno

Alafu Umbwa mwalimu anapata take home Laki 6 [emoji23][emoji23]

●ukimuona mwalimu wa sayansi tambua kuwa alitaka kuwa Engineer au Dr but kutokana na UKAPUKULA akakimbilia UALIMUNI take home Laki 6 wategemezi 70
Poleni saana Wanangu WALIMUU hakika Maisha yenu ni Kama Yule muovu IBILISI

nikisema "WALIMU" mnaitikia kwa kubweka kama Umbwa
Ualimu ni laana kataa ualimu
 
Nimewahi fanya hiyo kazi kipindi cha nyuma huko as phy&math teacher tho it was out of my career......changamoto kubwa ya hiyo KAZI ni kuwa ina mabosi wengi
Wizara ya elimu,manispaa, mkurugenzi, maafisa elimu wilaya na mkoa mara mkuu wa wilaya sjui mkuu wa mkoa yaani karibia kila kiongozi mkubwa aweza kuja na maelekezo mapya kila siku
Ivi kweli [emoji23]
 
Niende kwenye hoja!

Yamekuja maelekezo ya kusainisha waalimu mkataba ambao unamtaka kila mwalimu kufaulisha somo lake kwa asilimia 100. Hakuna mwanafunzi kufeli mtihani wa somo lake! Na kufeli kwao inaanzia B na sio F kama baraza la mitihani linavyo elekeza!

Je, Sikuhiz mwalimu ana sign mikataba miwili ya ajira?

Nimarufuku kutype scheme of work na lesson plans na kwamba zoote ziandikwe kwa mkono,
yaani wakati dunia inaenda digital, ilemela mwalimu anarudishwa analog, badala ya kusimplyfy kaz kuserve muda ili utumike pengine kuboresha taaluma tunaicomplicate kazi ili kumkomoa mwalimu🙃 kwamba hata notisi (nukuu) ziandikwe kwa mkono nimarufuku kukutwa na typed notse!

Sasa mpango kazi wa mwalimu uandikwe kwa mkono, je sylabus inayomuongoza mwalimu kuandaa mpango kazi huo husika kwanini wizara haijaziandaa sylabus hizo kwa mkono? Vipi kuhusu mithani pia wanayotunga waalimu kwanini nayenyewe kuanzia sasa wasiandike kwa mkono?? Tuachane kabisa na habari za kutype?? Turudi in 1990s?

Kwamba Mwalimu atoe majaribio mawili na maswali matano kila siku kwa wanafunzi woote.

Kwa wastani tuchukulie form one na two wanamasomo tisa so 9×5 = 45 hayo ni maswali kwa siku

45 × 5 = 225 hayo ni maswali kwa wiki!

Sijaenda form three na four, je hii imezingatia idadi ya wanafunzi kwa shule husika! Kuna shule form one wako 450 mpka 600 , kiuhalisia kuna mtu unaweza kusahisha maswali 225 kwa watoto 450 mpaka 600 kwa wiki, na bado uandae lesson plan kwa mkono??🙃 Na utambue weknes za watoto na kuwasaidia??

Nyie mlisoma hivyo? Je Mmewafikiria hawa watoto pia lwamba wafanye maswali 225 kwa wiki?? Na mnaona kabisa hilo ni archivable?

Kwa waalimu wa vidato vya pili na nne, mwalimu anapaswa kuotea ufaulu wa watoto, yaani mwalimu atabili ufaulu wa watoto wake anao wafundisha kwa mwaka, na nimarufuku kuweka utabili daraja C WOTE WAANZIE 'B' mpaka A! Hutakiwi kutabiri watoto watapata C, D na F 😂

So skuiz waalimu wanabeti kuhusu ufaulu wa watoto? Mwisho wasiku shule zikifanya udanganyifu kama pale thaqhafa mta shangaaa?

Kwamba Mwalimu anapaswa fanya kazi kwa muda wake binafsi yaani muda wa ziada bila kudai fedha ya kazi ya ziada😂😂 na anapaswa kuwa na maswali 100 ya kuwapa wanafunzi 😂😂 hivi hili hata kwenye sheria ya kazi linakubalika?

Sasa hii ni mikakati ya kuinua taaluma au ni mikakati yakuonekana mnainua taaluma. Nafikiri kunayo laana flani kwenye hii kada!

Kila mtu ni boss wa mwalimu

Kila mtu anauwezo wa kuwapa maelekezo waalimu!!

Na Je huu ndio msimamo wa nchi nzima kuhusu ELIMU? na je Upo waraka unaoelekeza haya?

Wahusika mpo tazameni haya! Kama mnaona yapo sawa haina shida!!
Hiyo mikaratasi isikutishe.
Hao ni watafuta vyeo na walinda vyeo vya kuteuliwa. Wewe fundisha,anayetaka ufaulu wa 100% awaweke hao watoto nyumbani na baada ya muda awape mtihani,watafaulu tu maana inaonekana wana uwezo mkubwa sana kiakili.
 
Mnasubiri nini KUGOMA mdai posho

Mechanical
Electrical
Wenye levo 3 za VETA Tpa mishahara yao inaanzia 1.6 lkn plus over time kwa mwezi wanakunja 2.8 M mpaka M3 hiyo ni take home hapo wanakuwa wameshakatwa kama laki tisa na kitu

Wana bima kubwaa mno

Alafu Umbwa mwalimu anapata take home Laki 6 [emoji23][emoji23]

●ukimuona mwalimu wa sayansi tambua kuwa alitaka kuwa Engineer au Dr but kutokana na UKAPUKULA akakimbilia UALIMUNI take home Laki 6 wategemezi 70
Poleni saana Wanangu WALIMUU hakika Maisha yenu ni Kama Yule muovu IBILISI

nikisema "WALIMU" mnaitikia kwa kubweka kama Umbwa
Take home ya wapi wakati hiyo ni basic?
 
Mnasubiri nini KUGOMA mdai posho

Mechanical
Electrical
Wenye levo 3 za VETA Tpa mishahara yao inaanzia 1.6 lkn plus over time kwa mwezi wanakunja 2.8 M mpaka M3 hiyo ni take home hapo wanakuwa wameshakatwa kama laki tisa na kitu

Wana bima kubwaa mno

Alafu Umbwa mwalimu anapata take home Laki 6 [emoji23][emoji23]

●ukimuona mwalimu wa sayansi tambua kuwa alitaka kuwa Engineer au Dr but kutokana na UKAPUKULA akakimbilia UALIMUNI take home Laki 6 wategemezi 70
Poleni saana Wanangu WALIMUU hakika Maisha yenu ni Kama Yule muovu IBILISI

nikisema "WALIMU" mnaitikia kwa kubweka kama Umbwa
Huu mwandiko nilidhani Mpwayungu Village!

Sent from my TECNO LA6 using JamiiForums mobile app
 
Kumbe walikua wanatest mitambo, kweli jamii forum ina fikisha ujumbe mahala husika na kwa wakati! Naona wame ondoa makatazo ya mambo fuatayo

👉Kuandika andalio la kazi na lesson plan kwa mkono

👉Kuandika notsi za somo kwa mkono!!

Tangazo limekubaliana na utaratibu uliokuwepo wa waalimu kutype document zao zote muhim na kutumika!

Niwapongeze wahusika wote wa wilaya ya ilemela kwa kujirekebisha, hup ndio ukomavu sasa! bado mengine nayo myapitie mrekebishe, haiwezekani dunia nzima hata serikali kuu yenyewe inapeleka mambo in digital form kurahisisha kazi then mtu mmoja kwenye wilaya anaamua kwenda kinyume nakusababisha taharuki!!

Asante jamii form kwa kufikisha ujumbe! 👐👐🤝
 
Niende kwenye hoja!

Yamekuja maelekezo ya kusainisha waalimu mkataba ambao unamtaka kila mwalimu kufaulisha somo lake kwa asilimia 100. Hakuna mwanafunzi kufeli mtihani wa somo lake! Na kufeli kwao inaanzia B na sio F kama baraza la mitihani linavyo elekeza!

Je, Sikuhiz mwalimu ana sign mikataba miwili ya ajira?

Nimarufuku kutype scheme of work na lesson plans na kwamba zoote ziandikwe kwa mkono,
yaani wakati dunia inaenda digital, ilemela mwalimu anarudishwa analog, badala ya kusimplyfy kaz kuserve muda ili utumike pengine kuboresha taaluma tunaicomplicate kazi ili kumkomoa mwalimu[emoji854] kwamba hata notisi (nukuu) ziandikwe kwa mkono nimarufuku kukutwa na typed notse!

Sasa mpango kazi wa mwalimu uandikwe kwa mkono, je sylabus inayomuongoza mwalimu kuandaa mpango kazi huo husika kwanini wizara haijaziandaa sylabus hizo kwa mkono? Vipi kuhusu mithani pia wanayotunga waalimu kwanini nayenyewe kuanzia sasa wasiandike kwa mkono?? Tuachane kabisa na habari za kutype?? Turudi in 1990s?

Kwamba Mwalimu atoe majaribio mawili na maswali matano kila siku kwa wanafunzi woote.

Kwa wastani tuchukulie form one na two wanamasomo tisa so 9×5 = 45 hayo ni maswali kwa siku

45 × 5 = 225 hayo ni maswali kwa wiki!

Sijaenda form three na four, je hii imezingatia idadi ya wanafunzi kwa shule husika! Kuna shule form one wako 450 mpka 600 , kiuhalisia kuna mtu unaweza kusahisha maswali 225 kwa watoto 450 mpaka 600 kwa wiki, na bado uandae lesson plan kwa mkono??[emoji854] Na utambue weknes za watoto na kuwasaidia??

Nyie mlisoma hivyo? Je Mmewafikiria hawa watoto pia lwamba wafanye maswali 225 kwa wiki?? Na mnaona kabisa hilo ni archivable?

Kwa waalimu wa vidato vya pili na nne, mwalimu anapaswa kuotea ufaulu wa watoto, yaani mwalimu atabili ufaulu wa watoto wake anao wafundisha kwa mwaka, na nimarufuku kuweka utabili daraja C WOTE WAANZIE 'B' mpaka A! Hutakiwi kutabiri watoto watapata C, D na F [emoji23]

So skuiz waalimu wanabeti kuhusu ufaulu wa watoto? Mwisho wasiku shule zikifanya udanganyifu kama pale thaqhafa mta shangaaa?

Kwamba Mwalimu anapaswa fanya kazi kwa muda wake binafsi yaani muda wa ziada bila kudai fedha ya kazi ya ziada[emoji23][emoji23] na anapaswa kuwa na maswali 100 ya kuwapa wanafunzi [emoji23][emoji23] hivi hili hata kwenye sheria ya kazi linakubalika?

Sasa hii ni mikakati ya kuinua taaluma au ni mikakati yakuonekana mnainua taaluma. Nafikiri kunayo laana flani kwenye hii kada!

Kila mtu ni boss wa mwalimu

Kila mtu anauwezo wa kuwapa maelekezo waalimu!!

Na Je huu ndio msimamo wa nchi nzima kuhusu ELIMU? na je Upo waraka unaoelekeza haya?

Wahusika mpo tazameni haya! Kama mnaona yapo sawa haina shida!!
Yasiyowezekana yawezekane
 
Tuifanye week hii iwe week ya WIZARA YA ELIMU tuteme nyongo zote
 
Back
Top Bottom