Maelekezo haya kwa Walimu wa Manispaa ya Ilemela yapo nchi nzima?

Ulichokipata wewe shukuru Mungu, ukija na kauli za kumwita mwenzio mbwa kwa kuwa unakipato kikubwa unakufuru Mungu, jiulize wote kwenu mnauchumi mkubwa? Kama sio je na hao wenye uchumi mdogo nao ni mbwa? Na wanajua kuwa unawaita mbwa? Jifunze Dunia haiko hivyo, na kama wenye kazi zenye kipato Cha juu wangeamua kutuita wenye kazi za kipato Cha chini mbwa basi wewe pengine ukikuwa kwenye kundi la panya.
 
Haya 👇👇
 

Attachments

  • IMG_20230206_165232.jpg
    319.2 KB · Views: 4
Nimewahi fanya hiyo kazi kipindi cha nyuma huko as phy&math teacher tho it was out of my career......changamoto kubwa ya hiyo KAZI ni kuwa ina mabosi wengi
Wizara ya elimu,manispaa, mkurugenzi, maafisa elimu wilaya na mkoa mara mkuu wa wilaya sjui mkuu wa mkoa yaani karibia kila kiongozi mkubwa aweza kuja na maelekezo mapya kila siku
 
Kila mbuzi...... Wengine tunaulilia hata huo ualimu ni miaka Sasa tunazisaka ajira rasmi za kada hiyo

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Ualimu ni laana kataa ualimu
 
Ivi kweli [emoji23]
 
Hiyo mikaratasi isikutishe.
Hao ni watafuta vyeo na walinda vyeo vya kuteuliwa. Wewe fundisha,anayetaka ufaulu wa 100% awaweke hao watoto nyumbani na baada ya muda awape mtihani,watafaulu tu maana inaonekana wana uwezo mkubwa sana kiakili.
 
Take home ya wapi wakati hiyo ni basic?
 
Huu mwandiko nilidhani Mpwayungu Village!

Sent from my TECNO LA6 using JamiiForums mobile app
 
Kumbe walikua wanatest mitambo, kweli jamii forum ina fikisha ujumbe mahala husika na kwa wakati! Naona wame ondoa makatazo ya mambo fuatayo

👉Kuandika andalio la kazi na lesson plan kwa mkono

👉Kuandika notsi za somo kwa mkono!!

Tangazo limekubaliana na utaratibu uliokuwepo wa waalimu kutype document zao zote muhim na kutumika!

Niwapongeze wahusika wote wa wilaya ya ilemela kwa kujirekebisha, hup ndio ukomavu sasa! bado mengine nayo myapitie mrekebishe, haiwezekani dunia nzima hata serikali kuu yenyewe inapeleka mambo in digital form kurahisisha kazi then mtu mmoja kwenye wilaya anaamua kwenda kinyume nakusababisha taharuki!!

Asante jamii form kwa kufikisha ujumbe! 👐👐🤝
 
Yasiyowezekana yawezekane
 
Tuifanye week hii iwe week ya WIZARA YA ELIMU tuteme nyongo zote
 
Tuifanye week hii iwe week ya WIZARA YA ELIMU tuteme nyongo zote
Na wanaifatilia thered hii maana tumejibiwa kw wakati makatazo yametenguliwa kwa haraaka sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…