Samahani wakuu naomba kuelekezwa njia nzuri ya kusafirisha mzigo (Laptop kumi) kutoka USA kuja TZ kwa bei nafuu...ni mzigo natakiwa kutumiwa na ndugu yangu. Msaada wakuu
DHL ni nzuri mkuu ila jiandae tu unaweza ibukiwa ulipe kodi maana 10 nyingi mkuu.
I hope ni ndugu kweli mkuu, isije kuwa wale jamaa zetu mko nao kwenye mchakato mnaendelea kuwasiliana wamekwambia watakutumia laptop 10! Hatari sana wale jamaa mkuu
DHL ni nzuri mkuu ila jiandae tu unaweza ibukiwa ulipe kodi maana 10 nyingi mkuu.
I hope ni ndugu kweli mkuu, isije kuwa wale jamaa zetu mko nao kwenye mchakato mnaendelea kuwasiliana wamekwambia watakutumia laptop 10! Hatari sana wale jamaa mkuu
DHL ni nzuri mkuu ila jiandae tu unaweza ibukiwa ulipe kodi maana 10 nyingi mkuu.
I hope ni ndugu kweli mkuu, isije kuwa wale jamaa zetu mko nao kwenye mchakato mnaendelea kuwasiliana wamekwambia watakutumia laptop 10! Hatari sana wale jamaa mkuu