Maelekezo kwa wale waliochaguliwa kujiunga na udsm

chumba kwa campus wanalala watu watatu chumba kimoja na kuna vingine wanalala wawili kwa vimba vidogo kwa upande wa mabibo wanalala watu wanne vumba vyote.
mzee namba yangu si umeiona hapo juu nitafute ili ni kupe mchongo zaidi.
 
kaka nikumbuke scopio hasa kwenye suala la kubeba ukipata chumba mshikali wangu.mambo yote muhimu ambayo yanakutatiza tupia haha mimi nipo kwa ajili hiyo .umoja na mshikamano mbele kwani yaliyotupata sisi pindi tuliporipoti miaka yate hatuhitaji yawakute ninyi kwani ninyi ni kama ndugu zetu wa damu udsm huwa ni chuo kinachosifika kwa umoja na mshikamano pasipo kujali kabila sura au rangi.
 
document nilizozitoa hapo juu zinahitajika ila kwa upande wa advance academic certificate huwa zinachelewa kutoka hivyo mwanafunzi anapaswa kuchukuwa result slip mpaka inayodhibitisha matokeo yake . ndugu zangu first year msibweteke wewe beba vyeti vyote kuepuka usumbufu kwani vyeti si mzigo ila chunga sana usivipoteze.zingatia sana haya usije ukaingia gharama za kurudi kwenu kwa ajili ya kutafuta vyeti.fanya maandalizi ya kutosha
 
Kwa kiingereza iki,je tutafika,na huyu ni msomi wa chuo kikuu,je wa sekondari inakuwa vipi?
 
Kwa kiingereza iki,je tutafika,na huyu ni msomi wa chuo kikuu,je wa sekondari inakuwa vipi?

Yani mimi sipendi kabisa kuona mtu anapima uelewa kwa kujudge kingereza cha mtu...huu ni ujinga mtupu,hivi nani alileta maendeleo dunia hii kwa kuongea kimombo...acheni bana hii michezo yenu
 
Hiv huyu ngonini cjui ngonani ndo nan humu ndani,c wasomi tumemuelewa mwanetu,ka hujaelewa tafta dikshenar kaka...!!!

Yani hayupo peke yake humu wapo kibao wanajifanya wao ni wasomi wakubwa kumbe ndo walewale...kingereza chenyewe tunatumia 'ili mradi liende',cha msingi ni kua na madini ya kutosha kichwani
 

Scopio.. First year tufanye nini ili kuweza kumanage security za vitu vyetu hasa Laptop tuwapo chuoni.. Au ni vizuri tukajanazo semister ya Pili tukishakua tumezoea chuo?..
 
Scopio.. First year tufanye nini ili kuweza kumanage security za vitu vyetu hasa Laptop tuwapo chuoni.. Au ni vizuri tukajanazo semister ya Pili tukishakua tumezoea chuo?..


Toto la kishua-shua nini,yani kutunza mali zako napo unahitaji darasa...yani naomba mungu jkt intake ya 3 iwepo,raia mkale pindi za kibeto
 
Toto la kishua-shua nini,yani kutunza mali zako napo unahitaji darasa...yani naomba mungu jkt intake ya 3 iwepo,raia mkale pindi za kibeto

Jkt Mi nlienda awamu ya Kwanza KJ 832 .. Sema nataka kujua mazingira ya utunzaji vitu yamekaaje mfano, ukiwa chuoni kuna safety ya kutosha katika Hostel, Isije kuwa ka ya Jkt Ukijisahau tu hata daika huna Chako ... Hope umenipata jyerphy
 
Jkt Mi nlienda awamu ya Kwanza KJ 832 .. Sema nataka kujua mazingira ya utunzaji vitu yamekaaje mfano, ukiwa chuoni kuna safety ya kutosha katika Hostel, Isije kuwa ka ya Jkt Ukijisahau tu hata daika huna Chako ... Hope umenipata jyerphy

AG.4464 S/M xir jyerphy...824 KJ KANEMBWA...vipi wewe mike
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…