Maelekezo kwa wale waliochaguliwa kujiunga na udsm

Nyie mmepiga bila mkesha, hizo fatiki ukizipiga na mkesha ni balaa.. nyie watoto mchele mchele Fatiki bila Mkeshaaa utafikiri home tuuu....

dah poti kwl unawaita maafand wenzio watoto mchele mchele? Anhaaa ebu tengua kauli bhana
 
Weeee... Hayo mavituzi walikuwa nayo Kina Michael Snow huko tabora kwao.. Ilipigwa mikesha hiyo, mpaka kuna mida jicho likabadilika yaan nikimwangalia mtu ka narembua ,, jicho lina open nusu tu .. Yaani details ulizonipa ni za Msange kabisaaa

hayo mapuzaa poti! Yan mxange ilikua macha sema kukesha ndo ha2kujila...bt course 2mepg hatar mpak kurut walivuta unadhan mchezo
 
hayo mapuzaa poti! Yan mxange ilikua macha sema kukesha ndo ha2kujila...bt course 2mepg hatar mpak kurut walivuta unadhan mchezo

Si Batch ya Kwanza Kambi zote tulijila, Ila waliopo sa hyiv Mdebwedo sana,, Krutu anaingia hadi facebook
 
Si Batch ya Kwanza Kambi zote tulijila, Ila waliopo sa hyiv Mdebwedo sana,, Krutu anaingia hadi facebook

haaa fb? Dah kuangushia kuangushia gan,hawa ndo wale wanatake cover kwny shamba la karanga poti
 
haaa fb? Dah kuangushia kuangushia gan,hawa ndo wale wanatake cover kwny shamba la karanga poti


Azowea....maafande hawa kwa mwendo wa guz-mach,wakiacha kutoa ronja kwa raia na Kuendelea ku-discus mada kuhusu UDSM...mbeeeleeee tembea!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…