Kaluluma
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 468
- 619
Ndugu zangu, naombeni maelekezo ya siku za minada kwa Dodoma na sehemu inakopatikana hasa Vijijini na jinsi ya kufika ukitokea Sabasaba Stand. Namaanisha Minada ya vitu kama nguo n.k.
Itafaa kama nitapata ratiba ya wiki nzima na mahali mnada unapokuwepo.
Natanguliza shukrani
Itafaa kama nitapata ratiba ya wiki nzima na mahali mnada unapokuwepo.
Natanguliza shukrani