kifupi kirefu
JF-Expert Member
- Oct 29, 2018
- 539
- 3,507
Naona Kama nchi Sasa inakopelekwa si kuzuri, kila Jambo analoona Waziri au kiongozi wa chama linakuwa sheria. Nimemsikia polepole na Waziri chanel ten wakitoa maelekezo kwa mabasi yote kukaa stand muda mrefu watu wale nakujisaidia.
Najiuliza Hawa watu wanajua hizo stand zina hadhi gani? Wanaelewa kwamba wapo wananchi wa hadhi tofauti? Wanaelewa umuhimu wa usafi?
Wamefanya utafiti wowote kuhusu hii hoja? Wanajua kuwa hoteli binafsi zinalipishwa Kodi kubwa na halmashauri kuliko Kodi ya wanaotoa huduma stand?
Leo hii kwa mfano mkoani tanga ukifunga hotel zote kubwa kwa maelekezo ya abiria wote wanaokwenda kaskazini waingie stand ya Korogwe hivi Kuna huduma pale?
Issue ya gharama ya chakula kwenye hoteli binafsi haitokana na wamiliki inatokana na mfumo wa serikali pamoja na huduma zinazotolewa. Choo bure, maji yakutosha Hadi yakuoga, eneo la maliwato safi , chakula safi, nk
Tujifunze kuwakemea wakina polepole wanaoishi kwenye mashangingi nakutaka siasa iwe ndo sheria kwetu.
Najiuliza Hawa watu wanajua hizo stand zina hadhi gani? Wanaelewa kwamba wapo wananchi wa hadhi tofauti? Wanaelewa umuhimu wa usafi?
Wamefanya utafiti wowote kuhusu hii hoja? Wanajua kuwa hoteli binafsi zinalipishwa Kodi kubwa na halmashauri kuliko Kodi ya wanaotoa huduma stand?
Leo hii kwa mfano mkoani tanga ukifunga hotel zote kubwa kwa maelekezo ya abiria wote wanaokwenda kaskazini waingie stand ya Korogwe hivi Kuna huduma pale?
Issue ya gharama ya chakula kwenye hoteli binafsi haitokana na wamiliki inatokana na mfumo wa serikali pamoja na huduma zinazotolewa. Choo bure, maji yakutosha Hadi yakuoga, eneo la maliwato safi , chakula safi, nk
Tujifunze kuwakemea wakina polepole wanaoishi kwenye mashangingi nakutaka siasa iwe ndo sheria kwetu.