Vyamavingi
JF-Expert Member
- Oct 3, 2014
- 5,818
- 5,555
sasa dogo baada ya kujifunza soka yeye ana iba simu
Kama ni kweli, we have a long way to go... uhuni hata kwa mama.
Mbaya sana hii. Ukiendekeza ndugu watakufilisi au watakuua kwa presha. Adebayor aachane nao kabisa.
Africa ni shider sana...wazazi wetu wa zamani wakishaona mtoto wao kapata kazi..basi wanajua wao mambo yao yamekamilika..unakuta umepata kazi ndani ya miezi mi3 ila una list ndefu ya watu wanataka misaada toka kwako
Hali hii huwa inajenga saaana chuki katika familia nyingi za kiafrica
sipendi kudharau utu wangu kwa kusema waafrika tunamatizo wakati sijaenda ulaya kuishi na kujua tabia za huko je ni zote zinazoandikwa ni njema kuliko zetu? ukijidharau utadharauliwa tu