Vyamavingi
JF-Expert Member
- Oct 3, 2014
- 5,818
- 5,555
sasa dogo baada ya kujifunza soka yeye ana iba simu
Hana tofauti na wanasiasa na vijana wengi wa Afrika, wao wanataka shortcut. Vijana wengi siku hizi wakipata kazi tu, mwaka wa kwanza wanataka wamiliki gari, na mwaka wa pili wamiliki nyumba.
Wanasiasa wetu vivyo hivyo, wakipewa madaraka tu mfano kutuliwa Uwaziri, ni kwenda kuiba tu. Yaani mtu akiteuliwa kushika nafasi ya juu serikalini, hata vyombo vyetu Vya habari vinasema KAULA!
Vv