wanajamvi pole na kazi. kwa wajuvi wa mambo ya usajili wa kampuni naomba kufahamisha je kuna advantage yoyote ya kusajili kampuni kama sole proprietor au limited company katika masuala yafuatayo:
1) aina na kiwango cha kodi ya kulipa (hapa kuna mambo mawili-- AINA na KIWANGO).. ni aina gani isiyokuwa na kodi kubwa?
2) upatikanaji wa mkopo bank
nauliza hivyo kwa sababu nataka kuanzisha kampuni ya biashara ya studio na children games ambapo share value ni kwenye 10,000,000 Tsh.
nitashukuru kwa watakoweza kudadavua ili tusiojua tupate elimu ahsanteni sana,
kodi kubwa kwenye limited liability nafikiri corporate tax 30%..sema kuna tax avoidance unaweza fanya au possibly evasion(illegal) so unaweza ukawa fresh tu....wanajamvi pole na kazi. kwa wajuvi wa mambo ya usajili wa kampuni naomba kufahamisha je kuna advantage yoyote ya kusajili kampuni kama sole proprietor au limited company katika masuala yafuatayo:
1) aina na kiwango cha kodi ya kulipa (hapa kuna mambo mawili-- AINA na KIWANGO).. ni aina gani isiyokuwa na kodi kubwa?
2) upatikanaji wa mkopo bank
nauliza hivyo kwa sababu nataka kuanzisha kampuni ya biashara ya studio na children games ambapo share value ni kwenye 10,000,000 Tsh.
nitashukuru kwa watakoweza kudadavua ili tusiojua tupate elimu ahsanteni sana,
ndachuwa nashukuru kwa ushauri wako. mimi nipo Dar es salaam. natamani kupata maelezo zaidi kuhusu kiwango cha kodi kwa aina hizi mbili za biashara.
Limited company, kodi ya mapato ni 30% ya faida iliyothibitishwa na wakaguzi wa hesabu na TRA wanaweza na wao kufanya ukaguzi wao. Kama utakuwa na wafanyakazi wanne au zaidi utalipa kodi inayoitwa "skills Development levy" ambayo in 6% ya jumla ya mishahara ya wafanyakazi. Kwa upande wa sole propriotorship, TRA watakukadiria kodi kulingana na ukubwa wa biashara yako kwa kuangalia mauzo yako ya mwaka
Limited company inakubana zaidi kwa maana ya kufaili return za kodi, BRELA, Municipal Levy nk. Sole proprietor kama mauzo yakio hayatazidi 40 million na wafanyakazi wakawa si zaidi ya watatu (3) ukishafanyiwa makisio ya kodi mwezi March hakuna tena usumbufu mpaka Mwaka mwingine. Ila kwa kukopesheka, unaangukia kwenye wajasiriamali wadogo hivyo kulingana na ufanisi wa biashara yako unaweza kwa mteja wa NMB au ACB ambao wanakopesha wafanya biashara wadogo.
Kwa upande wa kampuni faida ni kubwa zaidi kwani kampuni na wenye kampuni huhesabika kama ni watu tofauti hata hivyo unavyojituma wewe ni tofauti na mbia mwenzako atakavyokuwa anajituma; ukiweka familia kuwa wabia wako ni sawa lakini bado "risk appetite" ni tofauti wewe unaweza taka kukopa mkeo akawa anaogopa vitu kama hivyo.
Kwa kuanzia nakushauri anza na sole proprietor. Kama uko Arush ni PM kwa ushauri wa mambo ya kodi
Mkuu nakushukuru, maelezo yako yamenisaidia mimi pia. Vipi kuhusu usajili, hivi usajili wa Kampuni ni sawa sawa na usajili wa Sole proprietor? ni documents gani zinahitajika kwa ajili ya kusajili wa Sole Proproetor na je una sajili Brela au sehemu tofauti. Nitashukuru kama nitapata majibu ya haya kutoka kwa wadau wanaofahamu.
Usajili wa kampuni una mlolongo ambao utamhusisha mwanasheria hivyo Mwanasheria atakudai gharama za kuandaa "Memorandum and Articles of Association" na Fomu nyingine ambazo lazima asaini ndiposa kampuni isajiliwe. Vile vile kabla ya kuchagua jina lazima ufanya "name search" pale kwa msajili ili kujiridhisha kwamba jina ulilochagulia halijasajiliwa na mtu mwingine. Gharama za kulipa BRELA na kumlipa mwanasheria kwa uchache hazitapungua TShs. 1,000,0000/= kutegemeana na kiwango cha mtaji unaosajiliwa
Kwa upande wa "Sole Proprietorship" kinachohitajika ni kwenda pale "BRELA" na kusajili jina la biashara, gharama yake haizidi 10,000/=
[/COLOR]Ndachuwa
hapo kwenye red, je ukishasajili jina ndo basi, hakuna utaratibu wa kusajili kampuni kwa kuwasilisha BRELA documents za usajili like the "memorandum" and "articles".
Je kwa hapa Tanzania, ukiwa na kampuni sole propriator unaweza ku-compete kwenye tender zinazotolewa na makapuni mengine mfano chukulia Halmashauri ya Wilaya xyz wakatangaza tender ya ku-supply stationeries or kufanya usafi. Je unaweza kutumia sole proprietor company ku-tender?
kanyagio "name register" hahitaji MEMARTS utakachopewa ni Certificate of Registration na document ingine ya kuwaelekeza benki wakubadi ufungua akaunti kwa jina la biashara.[/COLOR]Ndachuwa
hapo kwenye red, je ukishasajili jina ndo basi, hakuna utaratibu wa kusajili kampuni kwa kuwasilisha BRELA documents za usajili like the "memorandum" and "articles".
Je kwa hapa Tanzania, ukiwa na kampuni sole propriator unaweza ku-compete kwenye tender zinazotolewa na makapuni mengine mfano chukulia Halmashauri ya Wilaya xyz wakatangaza tender ya ku-supply stationeries or kufanya usafi. Je unaweza kutumia sole proprietor company ku-tender?
Chasha idadi kubwa ya kampuni za ukaguzi na ushauri wa kibiashara ni siyo "corporate entity" ni "name register" tuuMkuu Inawezekana lakini kwa taabu sana, That is why nasema Mara Nyingi Limited Company ndo the best katika maswala ya Biashara, Ila kama unataka kufanya biashara for Survive wewe fanya individualy, Ila for sustainability ni lazima utumie kampuni,
Chasha idadi kubwa ya kampuni za ukaguzi na ushauri wa kibiashara ni siyo "corporate entity" ni "name register" tuu
wanajamvi pole na kazi. kwa wajuvi wa mambo ya usajili wa kampuni naomba kufahamisha je kuna advantage yoyote ya kusajili kampuni kama sole proprietor au limited company katika masuala yafuatayo:
1) aina na kiwango cha kodi ya kulipa (hapa kuna mambo mawili-- AINA na KIWANGO).. ni aina gani isiyokuwa na kodi kubwa?
2) upatikanaji wa mkopo bank
nauliza hivyo kwa sababu nataka kuanzisha kampuni ya biashara ya studio na children games ambapo share value ni kwenye 10,000,000 Tsh.
nitashukuru kwa watakoweza kudadavua ili tusiojua tupate elimu ahsanteni sana,
nawashukuru sana kwwa maelezo yenu mliyotoa. naona nazidi kupata mwanga kuhusiana na aina ya kampuni ya kuanzisha. It seems kuwa na limited company kuwa nzuri zaidi lakini requirements za kodi zipo juu kidogo unlike proprietorship.
my last questions to Ndachuwa, Chasa na wengineo-- je ukiwa na sole proprietor company je unaweza kufanya biashara zaidi ya moja.. matarajio yangu ni kuanzisha pharmacy, children games na video studio businesses. je biashara hizi unaweza kuzifanya chini ya mwamvuli wa kampuni moja ambayo ni sole proprietorship?
Limited company inakubana zaidi kwa maana ya kufaili return za kodi, BRELA, Municipal Levy nk. Sole proprietor kama mauzo yakio hayatazidi 40 million na wafanyakazi wakawa si zaidi ya watatu (3) ukishafanyiwa makisio ya kodi mwezi March hakuna tena usumbufu mpaka Mwaka mwingine. Ila kwa kukopesheka, unaangukia kwenye wajasiriamali wadogo hivyo kulingana na ufanisi wa biashara yako unaweza kwa mteja wa NMB au ACB ambao wanakopesha wafanya biashara wadogo
Kwa upande wa kampuni faida ni kubwa zaidi kwani kampuni na wenye kampuni huhesabika kama ni watu tofauti hata hivyo unavyojituma wewe ni tofauti na mbia mwenzako atakavyokuwa anajituma; ukiweka familia kuwa wabia wako ni sawa lakini bado "risk appetite" ni tofauti wewe unaweza taka kukopa mkeo akawa anaogopa vitu kama hivyo.
Kwa kuanzia nakushauri anza na sole proprietor. Kama uko Arush ni PM kwa ushauri wa mambo ya kodi
Shukran Ndachuwa, mm ni mjasiriamali/mfanyabiashara kwa zaidi ya miaka 25 nimeshatumia mifumo hy yote, kampuni yangu ya kwanza illisajiliwa 1992 inaendelea, ni kweli kabisa kila moja ina uzuri na hasara zake, nadhani kilicho bora kabisa ili uweze kuamua ni ipi utumie pana mambo muhimu ya kuyatambua kama ifuatavyo;
1. Masoko yako - unalenga wateja wa aina gani kama ni public Institution, corporates lazima kampuni.
2. Mtaji uliopo - mara nyingi kampuni inahitaji mtaji mkubwa zaidi
3. Mfumo wa kodi - hii inategemea na mambo kadhaa ili kulipa kdg au zaidi, lkn kampuni inahitaji maandalizi makubwa.
4. Umiliki - wamiliki zaidi ya mmoja itabidi partinarship aidha sole proprietor
5. Aina ya Biashara - Trading zote ni sawa, Tenders aina nyingi zinahitaji Kampuni.
6.Malengo yako kwa muda huo - kama unaanza na lengo lako ni faida (kukua, ukomae kwa kupitia faida) na kama rasiliamali zingine ni haba, pia hakuna pingamizi la soko lako(wateja) nadhani sole proprietor is the best. lakini kama malengo ni kupanua masoko kwanza, goodwill kubwa, well advertised, aim large scale by all means either by sourcing capital from suplliers, Banks, even customers like Gvmnts, Investors - nadhani kampuni ni mahala pake....
hii ni kwa mazingira yetu ya TZ, ukweli ni kwamba kampuni inavutia walaji wengi sana hasa TRA , Municipals levy, n.k kwa uzoefu wangu sishauri mtu anayeanza biashara.....