kanyagio
JF-Expert Member
- Dec 10, 2009
- 1,021
- 366
wanajamvi pole na kazi. kwa wajuvi wa mambo ya usajili wa kampuni naomba kufahamisha je kuna advantage yoyote ya kusajili kampuni kama sole proprietor au limited company katika masuala yafuatayo:
1) aina na kiwango cha kodi ya kulipa (hapa kuna mambo mawili-- AINA na KIWANGO).. ni aina gani isiyokuwa na kodi kubwa?
2) upatikanaji wa mkopo bank
nauliza hivyo kwa sababu nataka kuanzisha kampuni ya biashara ya studio na children games ambapo share value ni kwenye 10,000,000 Tsh.
nitashukuru kwa watakoweza kudadavua ili tusiojua tupate elimu ahsanteni sana,
1) aina na kiwango cha kodi ya kulipa (hapa kuna mambo mawili-- AINA na KIWANGO).. ni aina gani isiyokuwa na kodi kubwa?
2) upatikanaji wa mkopo bank
nauliza hivyo kwa sababu nataka kuanzisha kampuni ya biashara ya studio na children games ambapo share value ni kwenye 10,000,000 Tsh.
nitashukuru kwa watakoweza kudadavua ili tusiojua tupate elimu ahsanteni sana,