Maelezo ya kina kuhusu Uber. Usafiri salama na wa bei ya chini kwa mtanzania

Maelezo ya kina kuhusu Uber. Usafiri salama na wa bei ya chini kwa mtanzania

Hakuna nilichoumbuka mbona.

Siitwi Julius Magembe.

Sasa nimeumbuka nini?
Usa baby kibao kumbe upo hapo tandale kwa tumbo unashare mishkaki ya utumbo iliyotungwa kwenye chelewa na wanakijiji wenzio,hata ukikataa huyo ndio ww jina uliwatajia fake na hilo sura lako baya ulivaa mask ili wasikujue
 
Usa baby kibao kumbe upo hapo tandale kwa tumbo unashare mishkaki ya utumbo iliyotungwa kwenye chelewa,hata ukikataa huyo ndio ww jina uliwatajia fake na hilo sura lako baya ulivaa mask ili wasikujue
Mkuu umenichekesha sana aisee
 
Usa baby kibao kumbe upo hapo tandale kwa tumbo unashare mishkaki ya utumbo iliyotungwa kwenye chelewa,hata ukikataa huyo ndio ww jina uliwatajia fake na hilo sura lako baya ulivaa mask ili wasikujue

Duh!

Sijaelewa ulichoandika.

Rudia tena, tafadhali.
 
Hahahahaaa.

Ndo maana nawadharau.

Hakuna mjualo.

Kama sipo bongo niko wapi sasa? Wewe ndo uhamiaji au??

Eti Julius Magembe teh teh teh....

Nipo hapa na hakuna awezaye kufanya lolote.

Wapumbavu nyie.
Teh teh upo viwanja now
... sura yako mbaya then hauna masikio!! Na hilo bichwa sasa ndo maana muda wote unavaa kapelo
 
Usa baby kibao kumbe upo hapo tandale kwa tumbo unashare mishkaki ya utumbo iliyotungwa kwenye chelewa na wanakijiji wenzio,hata ukikataa huyo ndio ww jina uliwatajia fake na hilo sura lako baya ulivaa mask ili wasikujue
Hahahahahah kichwa chake muda wote kapelo
 
Duh!

Sijaelewa ulichoandika.

Rudia tena, tafadhali.
Teh teh ukora umekuponza!! Halafu watoto wakike wanasema unanuka vibaya kama fungo!! Zile pafyumu za bei mbaya unazodai unatumia nyuma ya keyboard ni uongo mtupu!! Unanuka ng'onda anasubiri!!!
 
Teh teh ukora umekuponza!! Halafu watoto wakike wanasema unanuka vibaya kama fungo!! Zile pafyumu za bei mbaya unazodai unatumia nyuma ya keyboard ni uongo mtupu!! Unanuka ng'onda anasubiri!!!

Ahahahahaaaa funny!

Enhe....jingine????
 
Teh teh ukora umekuponza!! Halafu watoto wakike wanasema unanuka vibaya kama fungo!! Zile pafyumu za bei mbaya unazodai unatumia nyuma ya keyboard ni uongo mtupu!! Unanuka ng'onda anasubiri!!!
Ilaa lusungo jaman khaaa mbonaa unamsemaa peke yako bilaaa kutupa huu ubuyu manake naona file unalo peke yako hebu tuonjeshe bwana
 
Teh teh upo viwanja now
... sura yako mbaya then hauna masikio!! Na hilo bichwa sasa ndo maana muda wote unavaa kapelo

Nipo wapi?

Hahahaaaa eti nanuka hahahhaaa.

Daaaaah hahahahaaa.

Umenichekesha saaaaaaana aisee.

Eti natumia pafyumu nyuma ya keyboard teh teh teh

Ila nyie watu ni majuhaa kweli.

Yaani mpaka sasa hamjajua mimi ni nani, niko wapi, nafanya nini.....

Ukisikia akili kubwa ndo hii sasa!

Mmebaki kuponda tu....mara sijui masikio....mara kichwa....mara nanuka.

Ukiona hivyo basi ujue hamjui lolote.

Mimi nanuka? Ahahahahahahahaaaaaaaaaaaa

Nyie ni wa kuwahurumia tu.
 
Ilaa lusungo jaman khaaa mbonaa unamsemaa peke yako bilaaa kutupa huu ubuyu manake naona file unalo peke yako hebu tuonjeshe bwana
Haha unamjua huyu jamaa ile ID yake maarufu hapa?
 
Back
Top Bottom