Maelezo ya kina kuhusu Uber. Usafiri salama na wa bei ya chini kwa mtanzania

Maelezo ya kina kuhusu Uber. Usafiri salama na wa bei ya chini kwa mtanzania

Je ukisahau mzigo unaupata vipi?
Kuna njia mbili za kuweza kupata mzigo uliosahau, unaweza kuingia kwenye app, chagua 'Your trips', chagua ile trip uliyoifanya na ukasahau mzigo wako, chagua 'I lost an item', chagua 'Contact my dirver about a lost item', hapo utaweza kumpigia simu dereva husika ili uweze kupata mzigo wako.
Endapo ukishindwa kumpata, chagua 'I couldn't reach my driver about a lost item', hapo utaweza kupata msaada zaidi kutoka uber support
 
OFA! SAFIRI BURE SASA. Download app ya uber, ingiza promotion code ya ubertz05 ili katika safari yako ya kwanza upate punguzo la tsh 6200
 
Kuna njia mbili za kuweza kupata mzigo uliosahau, unaweza kuingia kwenye app, chagua 'Your trips', chagua ile trip uliyoifanya na ukasahau mzigo wako, chagua 'I lost an item', chagua 'Contact my dirver about a lost item', hapo utaweza kumpigia simu dereva husika ili uweze kupata mzigo wako.
Endapo ukishindwa kumpata, chagua 'I couldn't reach my driver about a lost item', hapo utaweza kupata msaada zaidi kutoka uber support
kuna extra cost juu ya hili?
 
OFA! SAFIRI BURE SASA. Download app ya uber, ingiza promotion code ya ubertz05 ili katika safari yako ya kwanza upate punguzo la tsh 6200
 
Uber ni nini?
Uber ni application inayokuwezesha kupata usafiri wa bei ya chini na salama katika sehemu nyingi za mkoa wa Dar-es-Salaam, kwa kupitia simu yako ya mkononi. Usafiri huu ni wa kutumia magari madogo yanayoweza kubeba kuanzia mtu mmoja hadi watu wanne.

Kujisajili na Uber
Nenda playstore, search 'Uber' utaiona ina icon nyeusi, download kisha ifungue.
Fanya usajili kwa kutumia namba yako ya simu, email na pia utachagua neno la siri.

Kupata punguzo la Tsh6200 katika trip yako ya kwanza
  • Nenda Menu kwa kubonyeza mistari mitatu iliyoko juu kushoto,Kisha bonyezaPayments,kisha bonyeza Add promo code , andika ubertz05
  • Utaona maandishi ya kijani yakionyesha kwamba utapata punguzo la tsh6200 katika trip yako ya kwanza.
  • Nitatoa mfano, safari yako ya kwanza ni kutoka posta hadi magomeni,na gharama yake ni shilingi 7200,basi utalipa sh1000 tu kutokana na hilo punguzo,lakini katika safari ya pili utalipa nauli kamili.

Zingatia

Unaweza kujisajili mara moja tu kwa kutumia hiyo promotion code, ukirudia kujisajili kwa namba nyingine kama baadhi ya watu wanavyopotosha mitandaoni, akaunti yako ya uber itafungiwa na hutaweza tena kutumia huduma za uber

Jinsi ya kutumia Uber kuita usafiri.
  • Fungua app ya Uber, hakikisha umewasha GPS, itakuletea maandishi 'where to'.Hapo utajaza unapotaka kwenda,mfano 'Magomeni Mapipa'.
  • Itakuonyesha kiasi cha nauli inayokadiriwa, na utabonyeza 'Request uberX'
  • Hapo hapo,itakuonyesha jina na namba ya gari la dereva atakayekufata hapo hapo ulipo, na ndani ya dk5 atakuwa kashafika.
Malipo ya usafiri
  • Ukifika 'destination' yako dereva atabonyeza 'Stop trip' kwenye application iliyoko kwenye simu yake, na hapo hapo itaonyesha nauli kwenye simu yako na kwenye simu ya dereva
  • Unaweza kulipa kwa Cash(Taslimu) au kwa kutuma Kadi ya benki
Umuhimu wa kutumia Uber
  • Ni gharama nafuu zaidi ukilinganisha na taxi za kawaida, kwa sababu bei inahesabiwa na mashine yenyewe kulingana na umbali wa sehemu unayoenda, na sio derevaa kujipangia bei kubwa
  • Ni salama zaidi, hasahasa usiku, kwasababu dereva wa uber anakuwa amesajiliwa na endapo itatokea tatizo lolote mfano kusahau kitu kwenye gari, dereva anaweza kupatikana kwa haraka
  • Inakusaidia kuokoa muda; mfano upo sehemu ambapo hamna taxi,bajaji wala bodaboda, unaweza kuita usafiri na ukakufata hapohapo kwa kutumia app hii.
UPDATE 1:
Uber inakuletea usafiri wa bajaji pia, ambao ni bei rahisi zaidi, sasa unaweza kuchagua kati ya UberX(taxi) na UberPoa(bajaji) kutokana na uwezo wako. UberPOA inapatikana maeneo ya Mwenge, Sinza, Kijitonyama, Mikocheni A, Mwananyamala, Kinondoni, Namanga, Msasani, Oysterbay, Masaki & Kigamboni ingawa huduma hii inasambaa maeneo mengi katika siku za baadaye.

UPDATE 2:
Kwa wale waliokwisha kutumia ofa yao ya kwanza(first ride), usiache kutumia Uber, endelea na unaweza ukapata punguzo la 25% au 50% kwa safari zako 4 mara kwa mara

Mkuu?Mimi nikiwa mmoja wa wateja wa uber, kwa niaba ya wengine, naomba kujulishwa juu ya ujanja unaofanywa na madereva wa uber , nasikia wenyewe wanaita “kutingisha dishi”. Hii ni nini? Najua tu kwamba madhara yake ni kwamfano, sehemu ya kulipia elfu 9 uber itasoma elfu 20 baada ya hilo dishi kutingishwa. Mimi hili nimeliona kwa rafiki yangu, alikuja kunitembelea hapa maeneo ya Victoria Dsm akitokea posta na uber ilisoma elfu 20 bei ambayo mimi hua nalipa nikitokea Victoria kwenda Airport . Maelezo tafadhali juu ya hili.
 
Mkuu?Mimi nikiwa mmoja wa wateja wa uber, kwa niaba ya wengine, naomba kujulishwa juu ya ujanja unaofanywa na madereva wa uber , nasikia wenyewe wanaita “kutingisha dishi”. Hii ni nini? Najua tu kwamba madhara yake ni kwamfano, sehemu ya kulipia elfu 9 uber itasoma elfu 20 baada ya hilo dishi kutingishwa. Mimi hili nimeliona kwa rafiki yangu, alikuja kunitembelea hapa maeneo ya Victoria Dsm akitokea posta na uber ilisoma elfu 20 bei ambayo mimi hua nalipa nikitokea Victoria kwenda Airport . Maelezo tafadhali juu ya hili.
Mkuu endapo ukichajiwa gharama ya nauli ambayo unadhani si sahihi, nenda kwenye app yako na report. Ili kureport; fungua app yako, chagua 'Your trips', chagua ile trip uliyoifanya na ukazidishiwa nauli, chagua 'I had an issue with my fare', hapo toa malalamiko yako kwa ufupi, na yatajibiwa, ikiwezekana utarudishiwa gharama uliyozidishiwa katika mfumo wa uber credits
 
OFA! SAFIRI BURE SASA. Download app ya uber, ingiza promotion code ya ubertz05 ili katika safari yako ya kwanza upate punguzo la tsh 6200
 
OFA! SAFIRI BURE SASA. Download app ya uber, ingiza promotion code ya ubertz05 ili katika safari yako ya kwanza upate punguzo la tsh 6200
Chief mimi nimetumiwa msg kama nusu saa iliyopita "Uber code:7**9.If this wasnt you reply STOP to (415) 237-0403 to unsubscribe." tatizo ni kwamba sio mimi nilie aplly na shida iliyopo hiyo namba nikituma msg kustop haiendi msg failed tafadhali nielekeze nafanyaje ili kuaccess msg ya kustop
nb:nimejaribu pia kuweka +415 lakini napo imefail
 
Wakuu naombeni ushauri wenu. Kwa wale ambao wazoefu wa biashara ya Uber naombeni ushairu wenu. Kwanza kabisa ningependa kujua:
1) Hesabu ya Uber kwa siku ni shilingi ngapi..?
2) Na kama Dereva ananiletea pesa wa week ni kiasi gani..?
3) Je ni biashara yenye usumbufu au ..?

Naombeni ushauri wenu.
Asanteni.
 
biashara ya uber kwa kiasi flani inalipa mkuu,
cha muhimu upate gari ndogo (saloon car)
yenye cc (engine capacity) chini ya 1300 na iwe kuanzia mwaka 2003 na kuendelea (gari ya mwaka 2002 hawakubali kukusajili)
hesabu kwa siku ni 35,000/
35,000*7
cha muhimu upate dereva anayejua maana ya maisha (majukumu) hii itasaidia kuthamini na kuipenda kazi yake.
 
Nimekupata ndugu na asante kwa ushauri. Japo nilidhani nikiwa na gari tatu basi ningeweza pata 1M kwa week..! Kumbe ni ngumu pia.!
 
Nimekupata ndugu na asante kwa ushauri. Japo nilidhani nikiwa na gari tatu basi ningeweza pata 1M kwa week..! Kumbe ni ngumu pia.!
Alichosema mdau hapo juu ni sahihi.

Ila naongezea hii.

Muache dereva wako alale na gari usiku kuna abiria wengi kuliko mchana.
 
Sasa kama Dereva analala na gari means atafanya kazi 24hrs. Maana madereva wengine wanaweza wapa watu wengine gari usiku mpaka saa 10 yeye akiwa amelala. Asubuhi yeye anaingia kazi.! Sasa kwa hesabu hiyo si itakuwa ndogo au unasemaje ndugu.
 
Nafikiri jambo bora ni kumuacha dereva awe huru na gari,bcoz maderva wengine wana wateja wao wa kudumu hivyo anaweza fanya kazi vizuri.
Kuna jamaa wangu amemuachia dereva kwa siku anaendesha kama km 168,sa wajuzi sijui atakuwa anakesha au la. Ila jamaa amepata dereva muaminifu..Hesabu kwa siku ni 30000/-. Kama utampa target kubwa ndo anaweza fikiria kutafuta deiwaka but hesabu ya 30 ni reasonable. But another option ni kumpa mkataba then baada ya muda gari iwe yake..
 
OFA! SAFIRI BURE SASA. Download app ya uber, ingiza promotion code ya ubertz05 ili katika safari yako ya kwanza upate punguzo la tsh 6200 OFA! SAFIRI BURE SASA. Download app ya uber, ingiza promotion code ya ubertz05 ili katika safari yako ya kwanza upate punguzo la tsh 6200
 
Habari wapendwa. Mimi ni mdada nina gari yangu aina ya Spacio new model (2002) nataka nijisajili nifanye Uber mwenyewe full time morning to night. (Dereva mimi mwenyewe)

Naombeni ushauri wenu juu ya hili suala.

Je process za kujisajili ni zipi?

Mahesabu kwa siku naweza kutoka na sh ngapi?

Thanks in advance
 
  • Thanks
Reactions: y-n
Back
Top Bottom