Maelezo ya ndoto ambazo huota ukiwa shuleni

Maelezo ya ndoto ambazo huota ukiwa shuleni

Hizbu Sharifu

JF-Expert Member
Joined
Jan 27, 2021
Posts
450
Reaction score
890
Habari

Nimekua nikipokea maswali mengi kuhusu ndoto ukiwa shule na leo ningependa kutolea ufafanuzi wa ndoto hizi kama ifuatavyo

1. Kwanza kabisa hizi ndoto hukupatia ujumbe jinsi mwili wako unavyoshambuliwa na nguvu za giza

2.Kadri changamoto zinavyokua nyingi shuleni ndivyo jinsi ulivyoathirika na shambulio hilo mfano kushindwa kumaliza mtihani, kushindwa kukusanya mtihani, kucherewa na kadhalika

3. Shambulio hilo linaweza kufanywa na binaadamu kwa kutumiwa na uchawi au kutoka kwa mashetani ya kijini

4. Cha kufanya baada ya kupata ndoto hizi ni kufanya tiba ya kujisafisha mwili

Usidharau ndoto hizi maana baada ya ndoto hizi kuna mambo hutbadilika katika maisha yako mfano uchumi, mahusiano, cheo, ugonjwa

Natumai mmeridhika na maelezo yangu ila pia maswali yanaruhusiwa
 
Habari
Nimekua nikipokea maswali mengi kuhusu ndoto ukiwa shule na leo ningependa kutolea ufafanuzi wa ndoto hizi kama ifuatavyo
1. kwanza kabisa hizi ndoto hukupatia ujumbe jinsi mwili wako unavyoshambuliwa na nguvu za giza
2.Kadri changamoto zinavyokua nyingi shuleni ndivyo jinsi ulivyoathirika na shambulio hilo mfano kushindwa kumaliza mtihani, kushindwa kukusanya mtihani, kucherewa na kadhalika
3. Shambulio hilo linaweza kufanywa na binaadamu kwa kutumiwa na uchawi au kutoka kwa mashetani ya kijini
4. Cha kufanya baada ya kupata ndoto hizi ni kufanya tiba ya kujisafisha mwili
Usidharau ndoto hizi maana baada ya ndoto hizi kuna mambo hutbadilika katika maisha yako mfano uchumi, mahusiano, cheo, ugonjwa
Natumai mmeridhika na maelezo yangu ila pia maswali yanaruhusiwa
Unajisafishaje kiroho?




Funguka zaidi
 
Kwa uelewa wangu unapoota ndoto upo shuleni, baadaye unakuja kufanya mtihani. Hii maana yake kunajambo lipo mbele (mtihani) linakuja, linakuhitaji ufanye maandalizi (kusoma darasani/shuleni). Ukifanya maandalizi mazuri utafaulu, usipofanya maandalizi utafeli.
 
Good morning Africa.....
Good morning Tanganyika.....
 
Habari

Nimekua nikipokea maswali mengi kuhusu ndoto ukiwa shule na leo ningependa kutolea ufafanuzi wa ndoto hizi kama ifuatavyo

1. Kwanza kabisa hizi ndoto hukupatia ujumbe jinsi mwili wako unavyoshambuliwa na nguvu za giza

2.Kadri changamoto zinavyokua nyingi shuleni ndivyo jinsi ulivyoathirika na shambulio hilo mfano kushindwa kumaliza mtihani, kushindwa kukusanya mtihani, kucherewa na kadhalika

3. Shambulio hilo linaweza kufanywa na binaadamu kwa kutumiwa na uchawi au kutoka kwa mashetani ya kijini

4. Cha kufanya baada ya kupata ndoto hizi ni kufanya tiba ya kujisafisha mwili

Usidharau ndoto hizi maana baada ya ndoto hizi kuna mambo hutbadilika katika maisha yako mfano uchumi, mahusiano, cheo, ugonjwa

Natumai mmeridhika na maelezo yangu ila pia maswali yanaruhusiwa
Sio kweli hizo Ni tafsiri za Majini yanayojigeuza kuwa malaika wa Nuru
Ila ki-ukweli Hana majibu.
Wacha Nikusaidie jibu la Kimungu
Ukiota uko shule Ni majira Yanayoamuriwa Kwenye ulimwengu wa Roho upitishwe Ili ujifunze upya. Na mara nyingi inakuwa Ni adhabu Kwamba kuna Mambo umeshindwa kuyafanya Kwa usahihi. Sasa unarudishwa kujifunza Ili ukiachiliwa tena Ufanye vizuri
Matokeo ya mwilini ya Ndoto hii ni kila kitu kusimama especially uchumi Some time kama umeajiriwa unaweza poteza hata kazi Kama umejiajiri uchumi unafungwa huoni riziki kabisa
Jiulize tu mwenyewe Je kuna mwanafunzi ana Uhuru wa kutafuta kipato? Kama hamna basi Ndio hivyo Mambo Lazima yawe magumu Sana Hadi kile kipindi kipite Ufanye mtihani ufaulu uanze kuona mema yakikujia
 
Nimekua nikiota nipo Kijijini ambako niliondoka longtime ago shida nini lakini pia kuna kipindi najikuta nipo na vichaa tunatembea Barabara moja shida nini
 
Habari

Nimekua nikipokea maswali mengi kuhusu ndoto ukiwa shule na leo ningependa kutolea ufafanuzi wa ndoto hizi kama ifuatavyo

1. Kwanza kabisa hizi ndoto hukupatia ujumbe jinsi mwili wako unavyoshambuliwa na nguvu za giza

2.Kadri changamoto zinavyokua nyingi shuleni ndivyo jinsi ulivyoathirika na shambulio hilo mfano kushindwa kumaliza mtihani, kushindwa kukusanya mtihani, kucherewa na kadhalika

3. Shambulio hilo linaweza kufanywa na binaadamu kwa kutumiwa na uchawi au kutoka kwa mashetani ya kijini

4. Cha kufanya baada ya kupata ndoto hizi ni kufanya tiba ya kujisafisha mwili

Usidharau ndoto hizi maana baada ya ndoto hizi kuna mambo hutbadilika katika maisha yako mfano uchumi, mahusiano, cheo, ugonjwa

Natumai mmeridhika na maelezo yangu ila pia maswali yanaruhusiwa
Hakuna tiba ya kujisafissha mwili. Sema Tu ni kufanya ushirikina. Nyie Ndugu zetu mnajulikana. Wewe uone Rohoni utibu Mwilini Umewahi kuona wapi
 
Hatari
Kitu ninacho jiuliza ni kua kwanini aina hii ya ndoto Zina wapitia watu wengi sana?
wajuvi mje hapa aseeeee
 
Back
Top Bottom