Maelfu watii amri ya kuondoka Gaza huku Israel ikiandaa wanajeshi 300,000 kuanza fagia fagia

Kwani Hamas wanaishi wapi CYO kwenye majengo.

Uwezo mdogo wa kureason. Madrasa Ni shida! Kufundishana fujo tu
Ww boya kweli yaani Hamas wajifiche kwenye majengo ili wauwawe badala ya kwenye mahandaki?
 
Hapo hata hamas watahama. Labda kama lengo la israiel ni kuwakusanya wote huko walikoshauri wahamie kisa wawateketeze huko huko bila kuhalisha nani ni adui au nani ni rafiki
Hamas ishachukuliwa tusubirie itapewa jina jipya. Au vinginevyo
 
Wanajeshi laki 3 si ndio idadi nzima ya wayahudi?
 
SEMA Hamas walijuwa kabisa matokeo ya Wanacho kifanya
Hamas mahesabu yao ni kwamba baada ya kuangamiza watu na kuteka mamia ya raia basi, Israel itafyata na kutaka Ku negotiate ili raia wake waachiwe .Sasa myahudi akipiga mahesabu ya raia wake 1300+ wameangamizwa na mashambulizi ya hichi kikundi cha hamas ,jamaa wameona this is too much ,we don't negotiate with terrors how long will they stay with this situation .Njia pekee ambayo inakataka kufanya ni kukifutilia mbali hichi Kikundi na ndio maana imetoa open door kama unajipenda nenda Gaza ya kusini ila baada ya hapo wasilaumiane .Israel inaenda kutoa somo Gaza kama somo lakihistoria kwa yeyote anaye chezea sharubu zake ndivo itakovyo mpata.
 
Sasa hata raia wakiondoka hao hammas siwatajichanganya na raia na wenyewe wataondoka nao

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
Hujui kinachoenda kufanyika!! Wao hata wakijichanganya hawatoondoka na silaha, na Israel wanachotaka kukifanya Gaza, ni kubomoa mahandaki yote wanayotumia kujifichia na kuwekea silaha!! Ili hata baada ya vita hiyo, kama wakionewa huruma kurudi huko, wasiwe na madhara, japo czani hilo kama litatokea!!! Kwani Netanyau anasema zamu hii gaza lazima iwe na sura mpya
 
Hakika Mwenyezi Mungu ni shahidi kwa yale mmayoyapitia ndugu zangu wapalestina. Bila shaka haki yenu mtaipata siku ya kuyama. Kwa hakika Mwenyezi Mungu ni hakimu juu ya mahakimu
 
Kiongoz wao yuko Doha Qatar anakula bata hotelin. Wakati masikin wa kipalestina aliowasababishia msala wanateketea.
Hapa ndo nikajua kumbe muarabu na mwafrika ni heri mwafrika.
 
Hakika Mwenyezi Mungu ni shahidi kwa yale mmayoyapitia ndugu zangu wapalestina. Bila shaka haki yenu mtaipata siku ya kuyama. Kwa hakika Mwenyezi Mungu ni hakimu juu ya mahakimu
Asalamaleko!

Takbir Takbirr Takbirrr

Embu njoo tunywe alkasusu sheikh, wapalestina wenzetu hatupaswi kuwawaza, wenzetu sasa hivi huko akhera walipo wanafaidi zile bikira.
 
Asalamaleko!

Takbir Takbirr Takbirrr

Embu njoo tunywe alkasusu sheikh, wapalestina wenzetu hatupaswi kuwawaza, wenzetu sasa hivi huko akhera walipo wanafaidi zile bikira.
Usilete utani na mambo ya dini
 
Mkuu vita sio kucheza ngoma ww subiri Israel haanze uvamizi wa ardhini ndo utanielewa sasa hivi huwezi nielewa kwa sababu ya mihemko.
Wakiingia ardhini mtasema subiri waende majini.
Kwani wale 1500 waliovamia Israel si walifyekwa wote hukohuko ardhini waliofanikiwa kurudi Gaza ni kama 500 tu!
Israel ni mzuri sana kwenye vita ya mtaa kwa mtaa, maana wanaomzunguka ndiyo mbinu wanayoitumia baada ya kuona hawamuwezi kwa uwezo wabkijeshi.
Hata US kipindi kile wanaenda Iraq then Afghanistan walikua wakipeleka Soecial Forces Israel kwenda kuwa trained kwenye vita ya mtaa kwa mtaa kukiwa na mchanganyiko na raia.
Kabla haujachangia uwe unajishughulisha kidogo.
 
Una juwa ni idadi kiasi gani cha wana jeshi wa Israel walio pelekwa kwenda kupambana na hao wanamgambo1500 unao wasema?

Israel ilipeleka zaidi ya wanajeshi 8,000 kwenda kupambana na hao wapiganaji na wapiganaji wengi hawakuwa na silaha za kutosha na bado wengi walikuwa na bastora na sio bunduki.

Alafu kingine unacho takiwa kujua ni kuwa hii haitakuwa mara ya kwanza kwa Israel na Hamas kupigana ground bettle mwaka 2014 wamepigana ground bettle zaidi ya mwezi mzima na bado hakupatikana mshindi hivyo hakuna geni.
 
Mmeshakaa na kuanza kubuni visa. Hata akipeleka askari 10,000, tatizo liko wapi? Ikiwa uwezo huo anao? Jeshi lao lina askari active 169,500. Unashangaa kupeleka askari 8,000 kupambana na magaidi wanaopita nyumba kwa nyumba wakibaka, wakichinja, wakipiga na kupiga watu risasi hovyo?
Kuhusu kutokua na silaha za kutosha, kwa akili zako wewe unadhani walikutwa kwenye vijiwe vya bodaboda wakisubiri abiria wakasombwa tu kwenda Israel kuvamia?

Hujui kuwa kuwa watu hugawanywa kwa makundi na kila kundi kulingana na uwezo wake na majukumu hupewa aina ya silaha itakayowafaa kwa majukumu hayo? Hivyo mlipoona wengine wana visu wengine bastora basi ndiyo mnasema silaha zikikua hazitoshi?

Kwa hiyo Israel wale askari wanaoenda kupigana ground ni kwa sababu hawana ndege za kutosha kumpa kila askari? Kwamba ndege zote za Israel zipo kupigana Gaza?
Alafu kingine unacho takiwa kujua ni kuwa hii haitakuwa mara ya kwanza kwa Israel na Hamas kupigana ground bettle mwaka 2014 wamepigana ground bettle zaidi ya mwezi mzima na bado hakupatikana mshindi hivyo hakuna geni.
Mshindi anapatikanaje? Israel ilitaka ku accomplish nini na Hamas alitaka ku accomplish nini? Tatizo lenu wakisitisha mashambulizi tu mnakimbilia kusema ameshindwa.
 
[emoji599]JUST IN - Israeli Colonel Warns: "Ground Operation in Gaza Could Be Hell for Untrained Reserve Soldiers."
 
Ya kwamba Netanyau atakuwa moja wapo ya watakao kwenda gaza kupambana na hamas au unamanisha nn?
Yeye anaingia na kutoka hata leo alikuwa mpakan. Na waziri mkuu aliyepita yuko front line. Unajua waarabu walikuwa wanajiona wao ni wazee wa kujitoa mhanga wamekuta muisrael yuko tayar kufa mara kumi yake ndipo alipochoka. Jews wanapambana ile ya survive of the fittest. Akishindwa wanafutwa
 
Waajemi wanachungulia without any comment. May be watafanya surprise attacks kuifuta Israel kwenye uso wa dunial kama wanavyojiapiza daily!
Nimeona manowari za jeshi la US zikiwa zimesheni ndege vita za kutosha. Siku ambayo US atakua mkweli, akasema Israel iheshimu mipaka, walowezi waondoke maeneo yasiyo ya kwao la sivyo hakuna support, kwa vyovyote Israel hataweza. Pamoja na shida za Hamas, mgogoro huu unachangiwa na mataifa ya Magharibi. Israel peke yake HANA UBAVU, ni jambo lililo wazi. Kujua hilo MOSSAD walikua wapi wakati HAMAS anapenya kwa magendo? Kwa hiyo roure cause ya huu mgogoro ni kupuuzia mipaka ya mataifa hayo mawili ambayo kihistoria ni ndugu kabisa.
Jambo moja ambalo wakristo wengi wanaingiza udini lakini hawalijui labda kwa makusudi au kutofuatilia ni kuwa;
1. Israel Waarabu ni asilimia karibu 20 hivi wakati Wayahudi ni asilimia 73. Dini zingine au race zingine ni asilimia 6 tu.
2. Wayahudi hawamtambui Yesu kabisa na siyo katika mleta dini kwao ingawa ni uzao wao kabisa. Wao Mussa ndiyo kila kitu
3.Wapalestina maana yake siyo Waislam bali ni Waislam na Wakristo.
 
This is not true
 
Sasa hata raia wakiondoka hao hammas siwatajichanganya na raia na wenyewe wataondoka nao

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
Wapelestina wengi wamegoma kuhama, wamesema tutafia majumbani kwetu. Kuhamisha wapelestina zaidi ya millions moja ni ndoto ya mchana- utter madness. Wounded bull Israel runs amok-soon to be slaughtered in the tunnels of Gaza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…