Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,587
Habarini ndugu zangu.
Ukiwa Chuo unawezeshwa na wazazi au Bodi ya Mikopo kwa ajili ya malazi, chakula, mavazi na mengineyo mengi, na hivyo kupata hadhi/status ya kuonekana kweli kijana wa Kitanzania.Kuna vijana hujibana na kununua mpaka simu, vitu vidogo vya ndani na mwishowe wengine hupata mpaka wachumba chuoni.
Ukimaliza chuo, unarudi nyumbani. Hupewi posho yoyote kwa ajili ya kukuwezesha kuishi mtaani. Kuna vitu vidogo mfano Bundle za Dakika, Internet ni muhimu sana kwa vijana kwa ajili ya kuperuzi huko duniani ili kujua yanayoendelea.
Kuna vijana wana miaka 12, 8, 7, 5, 2 mtaani bila kazi yoyote. Hawaingizi chochote na still wana mahitaji yaleyale ya siku zote (vocha, nguo, malazi, kuhudumia wenza wao n.k). Mbaya zaidi wanapoomba kazi wanaambiwa ni lazima wawe na uzoefu wa angalau miaka 3 ama 5. Mtu anapataje uzoefu kwa situations kama hizi?
Vijana waliomaliza vyuo mtaani wanaishije mtaani bila ajira miaka nenda rudi?
Ukiwa Chuo unawezeshwa na wazazi au Bodi ya Mikopo kwa ajili ya malazi, chakula, mavazi na mengineyo mengi, na hivyo kupata hadhi/status ya kuonekana kweli kijana wa Kitanzania.Kuna vijana hujibana na kununua mpaka simu, vitu vidogo vya ndani na mwishowe wengine hupata mpaka wachumba chuoni.
Ukimaliza chuo, unarudi nyumbani. Hupewi posho yoyote kwa ajili ya kukuwezesha kuishi mtaani. Kuna vitu vidogo mfano Bundle za Dakika, Internet ni muhimu sana kwa vijana kwa ajili ya kuperuzi huko duniani ili kujua yanayoendelea.
Kuna vijana wana miaka 12, 8, 7, 5, 2 mtaani bila kazi yoyote. Hawaingizi chochote na still wana mahitaji yaleyale ya siku zote (vocha, nguo, malazi, kuhudumia wenza wao n.k). Mbaya zaidi wanapoomba kazi wanaambiwa ni lazima wawe na uzoefu wa angalau miaka 3 ama 5. Mtu anapataje uzoefu kwa situations kama hizi?
Vijana waliomaliza vyuo mtaani wanaishije mtaani bila ajira miaka nenda rudi?