Pre GE2025 Maelfu ya mabinti wa vyuo mkoani Mwanza wavutiwa na uongozi wa rais Samia, wameomba kukutana naye

Pre GE2025 Maelfu ya mabinti wa vyuo mkoani Mwanza wavutiwa na uongozi wa rais Samia, wameomba kukutana naye

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Kampeni ya Mama asemewe imeadhimisha sikukuu ya Wanawake mkoani Mwanza kwa kuandaa Kongamano kubwa la BINTI WA LEO, SAMIA WA KESHO ambapo lilikusanya takribani Mabinti 2000 kutoka Vyuo mbalimbali mkoani Mwanza.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Akizungumza katika Kongamano hilo lililofanyika leo tarehe 8 Machi 2025 Jijini Mwanza Makamu mwenyekiti wa Kampeni hiyo ndg Verynancy Mrema alipongeza juhudi mbalimbali ambazo zinafanywa na Serikali katika kuwainua Wanawake Kiuchumi na kuwapa fursa katika maeneo mbalimbali ikiwemo Ushirikishwaji wao katika Siasa na Uongozi.

Snapinsta.app_474763393_614679781347291_5481763306524483553_n_1080.jpg
Snapinsta.app_483356526_1192145725936797_3775630038577582820_n_1080.jpg
Snapinsta.app_482849352_1141064097798808_3683143946093963800_n_1080.jpg
 
Wana UVCCM wanataka kuonana na mwenyekiti wao☺️
 
Back
Top Bottom