johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kuna sehemu nilisoma ni Panzi tu wa kawaida, shida wakikusanyika wengi wakati wanatafuta chakula kuna kemikali inaitwa serotonin ndio inaongezeka na ndio wanaanza kupata mabadiliko ya kibaiolojia na kuwafanya waanze kula zaidi chakula na kukuaKwa hiyo nzige ni panzi wa kizungu!
Ninakumbuka kuna inzi wa kizungu, wana rangi ya bluu hivi.
Tena uliwabaka sana utotoniKipindi sijajua nzige ni nini nilikuwa nikifikiri ni wadudu fulani hivi amaizing kama nyuki si nyuki lkn kumbe nzige ndo panzi..🤣
Mkuu hill la kubaka linawezekana vipi wakati viumbe vyenyewe vidogo hivyo! Kweli bangi si nyanya..😂Tena uliwabaka sana utotoni
Kwa binadamu, serotonin ni homoni ya furaha (happy hormone) ambayo hutengenezwa na pineal gland. Lakini pamoja na kuleta furaha ya mwili wa binadamu pia hupunguza nguvu za tendo la ndoa! Kwa nzige mimi sijui.Kuna sehemu nilisoma ni Panzi tu wa kawaida, shida wakikusanyika wengi wakati wanatafuta chakula kuna kemikali inaitwa serotonin ndio inaongezeka na ndio wanaanza kupata mabadiliko ya kibaiolojia na kuwafanya waanze kula zaidi chakula na kukua
Na dawa yao hao ni Bata tu.. hapo inatakiwa liandaliwe jeshi la bata waingie vitani..Mkuu mimi mwenyewe wewe ndo umenifumbua macho sikujua kuwa nzige ndo panzi hawa hawa ninaowajua.
Wanasema ishu inaanzia hapaKwa binadamu, serotonin ni homoni ya furaha (happy hormone) ambayo hutengenezwa na pineal gland. Lakini pamoja na kuleta furaha ya mwili wa binadamu pia hupunguza nguvu za tendo la ndoa! Kwa nzige mimi sijui.
Basi serotonin hormone ni kitu cha hatari. Inawezekana hata hizi taharuki kwenye baadhi ya vyama vyetu vya siasa inasababishwa na baadhi ya viongozi wake kuwa na serotonin hormone kupita kiwango cha kawaida!
Sikuwahi fahamu hii.
Panzi=Grasshopper
Nzige=Locust.
Wanafanana kwa kiasi Fulani.
Kwenye practical za bios ,wanafunzi tulikuwa wakituchanganya kiasi
Panzi=Grasshopper
Nzige=Locust.
Wanafanana kwa kiasi Fulani.
Kwenye practical za bios ,wanafunzi tulikuwa wakituchanganya kiasi
Waulize wenzio uliokaribu nao. Enzi zile tulikua kukiwakamata panzi Kama sport. Kile kitendo Cha kujirusha na kumtia kwenye kiganja tulikua tunaita kumbaka.Mkuu hill la kubaka linawezekana vipi wakati viumbe vyenyewe vidogo hivyo! Kweli bangi si nyanya..😂
Wapinzani hao. Sijui wanaitakia nini nchi yetu[emoji1787][emoji1787]Duh, sasa watakua wametoka wapi hadi waje watue Tabata?, why not Kimara,Masaki [emoji848](just thinking out loud) au wamezaliana hapo hapo but why waonekane usiku wa leo tu?