Maelfu ya Waislamu wenye msimamo mkali waandamana Ujerumani wakitaka uwepo wa Sheria za Kiislamu (Sharia Laws)

Maelfu ya Waislamu wenye msimamo mkali waandamana Ujerumani wakitaka uwepo wa Sheria za Kiislamu (Sharia Laws)

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Impact za illegal and mass migration zimeanza kuonekana huko Ujerumani na hii ni baada ya maelfu ya waislamu kuonekana wakiandamana huko Ujerumani wakitaka kuwepo na sheria za kiislamu kwenye nchi hiyo yaani Sharia Laws.

I have no words, video inajieleza!

Soma Pia: Wakristo wa Yemen walishinikizwa kufuata sheria za Kiislamu: ‘Tulilazimishwa kuvaa hijabu’


SL1.png


 
Yani hawa watu wanatafuta tu uchokozi kwenye nchi za watu……Huwezi ukamkuta Mzungu yupo Saudi Arabia au Iraq anaomba serikali za huko waruhusu uwepo wa shughuli za kikristo kwenye nchi hzo

Lakini hawa waarab wamepewa hifadhi ya kuishi kwenye nchi za kikristo,wanaanza kuleta mambo ya Middle East

Hawa wanapaswa warudi kwao tu,wakaendelee kuvaa makobazi
 
Yani hawa watu wanatafuta tu uchokozi kwenye nchi za watu……Huwezi ukamkuta Mzungu yupo Saudi Arabia au Iraq anaomba serikali za huko waruhusu uwepo wa shughuli za kikristo kwenye nchi hzo

Lakini hawa waarab wamepewa hifadhi ya kuishi kwenye nchi za kikristo,wanaanza kuleta mambo ya Middle East

Hawa wanapaswa warudi kwao tu,wakaendelee kuvaa makobazi

Sentensi ya tatu nimecheka sana
 
Yani hawa watu wanatafuta tu uchokozi kwenye nchi za watu……Huwezi ukamkuta Mzungu yupo Saudi Arabia au Iraq anaomba serikali za huko waruhusu uwepo wa shughuli za kikristo kwenye nchi hzo

Lakini hawa waarab wamepewa hifadhi ya kuishi kwenye nchi za kikristo,wanaanza kuleta mambo ya Middle East

Hawa wanapaswa warudi kwao tu,wakaendelee kuvaa makobazi
Kiuzwe kitimoto wanataka wafunguwe mabucha na viwanda vya Kitimoto
 
Wamejipalia makaa, kama pweza anavyosongeza na kukumbatia makaa ya moto kumbe anajimaliza watu wetu hawa wa imani.

Gaza, Beirut, Allepo, Damascus ni mifano ya kuchezea sharubu za wakubwa, matokeo yake ni vilio na kusaga meno kwa kujuta.
 
We
Yani hawa watu wanatafuta tu uchokozi kwenye nchi za watu……Huwezi ukamkuta Mzungu yupo Saudi Arabia au Iraq anaomba serikali za huko waruhusu uwepo wa shughuli za kikristo kwenye nchi hzo

Lakini hawa waarab wamepewa hifadhi ya kuishi kwenye nchi za kikristo,wanaanza kuleta mambo ya Middle East

Hawa wanapaswa warudi kwao tu,wakaendelee kuvaa makobazi
We wacha ujinga, tena wazungu wanalazimisha, ukitakw usitakeni lazimq uwafate. Kama hutaki kufata yao wanakumaliza.
 
Back
Top Bottom