Maelfu ya Waislamu wenye msimamo mkali waandamana Ujerumani wakitaka uwepo wa Sheria za Kiislamu (Sharia Laws)

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Yani hawa watu wanatafuta tu uchokozi kwenye nchi za watu……Huwezi ukamkuta Mzungu yupo Saudi Arabia au Iraq anaomba serikali za huko waruhusu uwepo wa shughuli za kikristo kwenye nchi hzo

Lakini hawa waarab wamepewa hifadhi ya kuishi kwenye nchi za kikristo,wanaanza kuleta mambo ya Middle East

Hawa wanapaswa warudi kwao tu,wakaendelee kuvaa makobazi
 

Sentensi ya tatu nimecheka sana
 
Kiuzwe kitimoto wanataka wafunguwe mabucha na viwanda vya Kitimoto
 
Wamejipalia makaa, kama pweza anavyosongeza na kukumbatia makaa ya moto kumbe anajimaliza watu wetu hawa wa imani.

Gaza, Beirut, Allepo, Damascus ni mifano ya kuchezea sharubu za wakubwa, matokeo yake ni vilio na kusaga meno kwa kujuta.
 
We
We wacha ujinga, tena wazungu wanalazimisha, ukitakw usitakeni lazimq uwafate. Kama hutaki kufata yao wanakumaliza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…