Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Wewe mwendawazimu ukitaka kufanikiwa ni heshimu mimi kwanzaHivi na wewe una akili kabisa kichwani mwako?😀😀 Kweli maajabu hayaishi humu Duniani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe mwendawazimu ukitaka kufanikiwa ni heshimu mimi kwanzaHivi na wewe una akili kabisa kichwani mwako?😀😀 Kweli maajabu hayaishi humu Duniani
hivi ndrugu zango,We jamaa ni aibu ya Taifa aisee, aibu Kabisa aisee!
Acha ujinga dogo.Wewe mwendawazimu ukitaka kufanikiwa ni heshimu mimi kwanza
Daah yaani CCM awe Baba na Mama!? 😃Acha kuniambukiza upumbavu
Na ndio Bima ya watanzania.CCM ndio kila kitu.Daah yaani CCM awe Baba na Mama!? 😃
Kwako wewe! Sio wote mkuu!Na ndio Bima ya watanzania.CCM ndio kila kitu.
Makada nyie zenu Fuso na mshiko .... Pale Morogoro watu wanadai Huyo Msomali pesa zao za kukusanywa.Acheni wivu wewe.unaweza ukabeba watu wote hawa kwenye fuso ngapi?👎View attachment 3116811
Upewe kazi hata ya kufagia fagia Ikulu ndogo mkuuLucas Hebel Mwashambwa
ChawaChama Mwandamizi
Mamako na babakoCCM ni chama cha watanzania wote.ndio mama na baba wa watanzania
Sikupendi we jamaa basi tu Mungu anisameheHakuna nguvu yoyote ile inayotumika.
Umesamehewa bure kabisa makosa yakoShoga hilo
Mimi nakupenda hivyo hivyo japo natambua kuwa hujitambui ila nakuheshimu kama mwanadamu aliyeumbwa na MunguSikupendi we jamaa basi tu Mungu anisamehe
Kwa hakika anachapa sana kazi na kwa weledi wa hali ya juu sana.Nchimbi baba kanyaga twende tumechelewa Sana. Tunajivunia kuwa na Katibu mkuu mwenye hekima, mtulivu na mwenye maono. Zaidi ya yote ni Mwanadiplomasia mbobevu.