Maelfu ya Wananchi Wamiminika Katika Mapokezi Mazito ya Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi na CPA Amos Makala Mkoani Simiyu

hakika ccm mbele kwa mbele wapinzani wanaona hayaaaaaaaaaaaa
 
Kabisa ni aibu tupu
wanakusanywa wamekuwa mbuzi? inamaana mpaka wapinzani wapo hapo kama wanakusanywa na kama hawapo wacha ccm wakusanye watu wao ndiyo utaratibu hata nyinyi kama mnataka kusanyeni wakenu nanyi wawe wanajaaa aibuuuuuu mnaona mkiwa wapi????
 
wanakusanywa wamekuwa mbuzi? inamaana mpaka wapinzani wapo hapo kama wanakusanywa na kama hawapo wacha ccm wakusanye watu wao ndiyo utaratibu hata nyinyi kama mnataka kusanyeni wakenu nanyi wawe wanajaaa aibuuuuuu mnaona mkiwa wapi????
CCM nyie ni wajinga sn
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…