chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 8,680
- 18,035
Tuna vitu vingi Tanzania tumebarikiwa ila kutokana na siasa mbovu ndio mtaji unaotumika kuzoretesha au kuchelewesha maendeleo.
Watawala na viongozi utumia mbinu hii kama mtaji wao upate maendeleo.
Na hii kauli hata marehemu Jpm alisema "siwezi kukuletea maendeleo sababu umechagua mpinzani"
Watawala na viongozi utumia mbinu hii kama mtaji wao upate maendeleo.
Na hii kauli hata marehemu Jpm alisema "siwezi kukuletea maendeleo sababu umechagua mpinzani"