Maendeleo huja kwa kodi au deni atalolipa mtanzania. Je ni sawa CCM kujinadi inaleta mendeleo?

Maendeleo huja kwa kodi au deni atalolipa mtanzania. Je ni sawa CCM kujinadi inaleta mendeleo?

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Hakina maendeleo yanayofanyika bila juhudi ya mwananchi.

Wananchi tunachangia katika bajeti ya nchi ili kuletaaendeleo ila cha ajabu vyama vya siasa vimekuwa vikijinadi na kuvuka mipaka utafkiri hela zimetoka mifukoni mwao.

Mfanyabiashara atafanya biashara yake kwa kigezo alipe kodi ya leseni ya biashara, kodi ya tra kila baada ya miezi mitatu, ada ya taka, n.k

Vivyo hivyo na mfanyakazi atalipia kodi.

Na hata deni tunapopewa basi anaelipa ni mtanzania.

Sasa haya mambo ya kujitapa tapa kwamba chama fulani kimejenga barabara, airport, n.k yanatoka wapi.

Hata Hashim Rungwe akipewa pesa za wananchi anaweza kuijenga nchi bila tatizo
 
Isifie wananchi kuwa kazi zao zinafanikisha tz kuendelea zaidi
hiyo kazi aiwezi kufanya maana wananchi ndio waliwapa hiyo kazi ya kutumia pesa zao kuleta hayo unayotaka wao wasifiwe.
Sasa ni halali wananchi kuwasifia kwa kutekeleza kile walichoingia nao mkataba wa miaka mitano kuwa kimefanya na zaidi
 
shida ni jiwe, anakopa kwa jina la taifa halafu anazifanya fedha zake anafanya analotaka bila kupitia bungeni wala kukaguliwa na cag. serikali ya magufuli ni janga kwa taifa.
 
hiyo kazi aiwezi kufanya maana wananchi ndio waliwapa hiyo kazi ya kutumia pesa zao kuleta hayo unayotaka wao wasifiwe.
Sasa ni halali wananchi kuwasifia kwa kutekeleza kile walichoingia nao mkataba wa miaka mitano kuwa kimefanya na zaidi
😁😁 Mbona umeshajijibu wamepewa pesa, Sasa mtu gani anaepewaga anajinadi kama vile katoa pesa mfukoni 😁😁😁🤔🤔🤔 Mbaya zaidi hata CAG alietusaidia wananchi kujua fedha zinatumikaje akafukuzwa
 
😁😁 Mbona umeshajijibu wamepewa pesa, Sasa mtu gani anaepewaga anajinadi kama vile katoa pesa mfukoni 😁😁😁🤔🤔🤔 Mbaya zaidi hata CAG alietusaidia wananchi kujua fedha zinatumikaje akafukuzwa
za kupewa ni kama asilimia chache tu mkuu hahaha
nyingine zote ni ubunifu wa viongozi kuweka mipango yenye uwezo wa kukopesheka, kuzuia wezi na kuja na mikakati ya kuleta fedha.

Sio kazi rahisi kumuambia mwananchi mpe JPM buku nne akuletee maendeleo, Kuna kazi ya ziada kuwafanya watoe hizo pesa nayo sio kazi ya kitoto
 
mpinzani gani kauwawa mkuu.
Hakuna hata kesi moja mahakamani kuwa kuna CCM au mtawala kamuua mpinzani wake.

acha longolongo bro
CCM wako juu ya sheria

Jana diwani wa dodoma kalithibitisha hili kwa kuwaambia polisi wasimnyanyase yeye siyo mpinzani
 
Back
Top Bottom