Maendeleo kwa usawa wa kikanda

Maendeleo kwa usawa wa kikanda

Joined
Dec 31, 2017
Posts
10
Reaction score
4
Nimekuwa nikitafakari ile kauli ya viongozi kwamba maendeleo yanapelekwa kwa usawa katka mikoa yote bongo lkn naona Kanda ya Ziwa Magharibi imeachwa mno haswa katika taasisi na miundombinu Kama ifuatavyo

1. Barabara: Hii ndio Kanda pekee mikoa haijaunganishwa kwa lami ie Kigoma-Tabora,Kigoma-Mpanda
2. Hakuna hospitali ya Kanda
3. Hakuna uwanja wa ndege wa maana
4. Hakuna benki kuu branch
5. Mikoa isiyo na grid ya taifa iko huko
6.n.k
 
Nimekuwa nikitafakari ile kauli ya viongoz kwamba maendeleo yanapelekwa kwa usawa katka mikoa yote bongo lkn naona Kanda ya ziwa magharibi imeachwa mno haswa katka taasisi na miundombinu Kama ifuatavyo
1.Barabara:hii ndio Kanda pekee mikoa haijaunganishwa kwa lami ie Kigoma-tbr,Kigoma-mpanda
2.Hakuna hospital ya Kanda
3.Hakuna uwanja wa ndege wa maana
4.Hakuna benki kuu branch
5.Mikoa isiyo na grid ya taifa iko huko
6.n.k
Mmepata MAKAMU wa RAIS Maendeleo YATAMIMINIKA kama Mvua
 
subli wanasiasa waje hapa kutetea upuuzi wao kwa maneno mepesi,, hata huyo mama yenu anasema kuwa kuna kijihela kapata sehem, na kitajenga madarasa zaid ya maelfu , sasa jiulize na zile tozo je zmekwenda fanya nini? ok achana na hilo, serkali kuwa na majiji zaid ya6 ambayo ni kama makao makuu ya kila kanda, chaajabu majiji yenyew yana hadhi chafu, yaan miundombinu mibovu, huduma za kijamii za hovyo.

kinachoiefelisha hii nchi, ni sera ya maendeleo ya muda mrefu, yaan sera ambazoo haziathiliwi na siasa wala kiongoz yeyote pale apatapo uongozi, utashangaa yaan kila rais ajae anakuja na maajabu yake, kama si kuvuruga alichofanya mtanguliz wake basi atakipotezea kabisa, na mipango ama lile lililokuwa lnafanywa na mtanguliz wake kuzikwa.

hii nchi ilitakiwa kuwa na katiba stable isiyo athiliwa na wanasiasa, pia sera endelevu za maendeleo ambazo znakuwa updating kila baada ya muda fulan kulingana na kasi ya maendeleo ya dunia, pia iwe inafanyiwa maboresho na watahalamu na sio wanasiasa ama watu wanaoegemea upande fulan wa chama cha siasa ama ushabiki wa siasa, hawa watu wangekuwa wakifanya maboresho haya ya sera za taifa ambayo kila kiongoz lazma ayafanyie kazi bila kwenda njee ya izo sera uku akifanya yale ya ilani ya chama chake

na izi ndizo mbinu znazowafanya nchi za ubeberuni kuwa strong na endelevu kulko sis ambao kila siku tunapambana na wanasiasa wanavyofanya siasa za ubaguzi, maendeleo ya upendeleo, utashangaa sana jiji kama mbeya liliongoza kimapato nchi nzima, lkn ukilitizama ni jiji la hovyo kimiundombinu na huduma za kijamii.

hii nchi ina safar ndefu sana
 
Mkuu sio kila kitu mtegemee Serikali iwafanyie, mengine mnatakiwa mjifanyie wenyewe kwa faida yenu na vizazi vyenu. Mbona Kilimanjaro tuliweza.
 
Mkuu sio kila kitu mtegemee Serikali iwafanyie, mengine mnatakiwa mjifanyie wenyewe kwa faida yenu na vizazi vyenu. Mbona Kilimanjaro tuliweza.
Mmeweza ni kilimanjaro[emoji848]

Na ni kilimanjaro ipi unaielezea..
 
Kuna mambo ni juhudi za watu binafsi na zingne ni za serkali ,hebu fikiria Kama kuna barabara imejengwa na watu wa Kanda huska au hospital ya Kanda
Maajabu ni kwamba Kanda Kama ya ziwa kuna hospital ya Kanda ya Bugando(50% serkal 50% Catholic) bado saiv imeongezwa musoma na chato ;afu wanasiasa wako comfortable mtu atoke mpanda,kigoma,tabora kwenda kutibiwa chato ,iv wanashindwa kujenga hospital ya Kanda either kigoma au tabora kuhudumia mikoa huska .ukija sera za kiutawala hii Leo mkoa wa kigoma ukatwe kutengeneza mkoa mwingine wa Kanda ya ziwa yenye mikoa 6,ilhali Kanda ya magharibi inamikoa 3 yenye poor infrastructures hii si kuwafanya watu wa huko kubaki gizani.

Mkuu sio kila kitu mtegemee Serikali iwafanyie, mengine mnatakiwa mjifanyie wenyewe kwa faida yenu na vizazi vyenu. Mbona Kilimanjaro tuliweza.
 
Nimekuwa nikitafakari ile kauli ya viongozi kwamba maendeleo yanapelekwa kwa usawa katka mikoa yote bongo lkn naona Kanda ya Ziwa Magharibi imeachwa mno haswa katika taasisi na miundombinu Kama ifuatavyo

1. Barabara: Hii ndio Kanda pekee mikoa haijaunganishwa kwa lami ie Kigoma-Tabora,Kigoma-Mpanda
2. Hakuna hospitali ya Kanda
3. Hakuna uwanja wa ndege wa maana
4. Hakuna benki kuu branch
5. Mikoa isiyo na grid ya taifa iko huko
6.n.k
Tatizo kubwa ni kuwa na maneno kama wilaya, mkoa, kanda bila kuwa na umiliki wala uongozi! Maendeleo ya jamii hayawezi kupatikana kama jamii haina viongozi wa kuchaguliwa. Tatizo ni katiba mbovu ambayo inafanya nchi nzima kuwa na kiongozi halali mmoja tu (RAIS)
Muda umefika katiba kuweka uongozi wa kanda au majimbo ili wananchi waweze kujadili na kuweka mikakati ya kutatua matatizo yao. Kila kitu cha maendeleo nchi hii kinakuja kama msaada kutoka kwa mabeberu weupe (wazungu) au weusi (serikali)
Utasikia nimepata kihela...........kutoka wapi? na unampa nani?............... Nani kaomba...............Je? Kodi haitoshi mpaka kihela ?
 
Nimekuwa nikitafakari ile kauli ya viongozi kwamba maendeleo yanapelekwa kwa usawa katka mikoa yote bongo lkn naona Kanda ya Ziwa Magharibi imeachwa mno haswa katika taasisi na miundombinu Kama ifuatavyo

1. Barabara: Hii ndio Kanda pekee mikoa haijaunganishwa kwa lami ie Kigoma-Tabora,Kigoma-Mpanda
2. Hakuna hospitali ya Kanda
3. Hakuna uwanja wa ndege wa maana
4. Hakuna benki kuu branch
5. Mikoa isiyo na grid ya taifa iko huko
6.n.k
Mahali popote penye wachawi wengi maendeleo huchelewa.
 
Back
Top Bottom