Maendeleo mapya: Mabadiliko ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania - Uzalendo

Maendeleo mapya: Mabadiliko ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania - Uzalendo

Vijana wa sasa na wanaokuja kwa wingi wao wana sauti na kwa hiyo nguvu ya kuleta mababdiliko na maendeleo tunayoyataka kwa sababu wao hawana hang-over ya huko nyuma tunakotoka na ni rahisi zaidi kuwaonyesha njia na wakafuata njia nzuri. Kwahiyo tuwekeze kwa vijana. Katika sensa ijayo, kijana asibaki bila kuandikishwa ili kwa wingi wao baada ya sensa iwe ni sauti tosha ya kukubalika kwa mawazo na vitendo. Ukiongea na kijana maswala kama wabunge wasiteuliwe mawaziri ni rahisi, Dual citizenship ni rahisi, Kuwajibika au kumuwajibisha mtu kwao ni rahisi sana, dhana ya ufanisi kazini ni rahisi kwao, nk.. Hata mgombea binafsi eti naye ni tishio kwa wazee! Juzi Kabwe kasema yuko tayari kwa urais wazee wakaja juu, sababu wasiweze kusema hawezi ila ni mtoto bado wakati tujaribu wazee haikutosha na sasa tuna kijana bado tunasema haitoshi. Kwahiyo vigezo vya umri havina maana. Tunataka ya kuweza tu na siyo umri na sifa ya utayari wa kuwajibika na kuwajibishwa basi. Hili yeyote mwenye uwezo hata vijana wa sasa wanaweza bila haya na hasa kama Katiba inayokuja itwapa wananchi meno.
 
Mabadiliko ya katiba ni muhimu mno. Hatuwezi kuwa na katiba ya zaidi ya miaka hamsini. mambo mengi yamebadilika kijamii, kisayansi, kiuchumi na kisiasa. Mpiga kura wa miaka kumi na nane (18) leo si sawa na yule wa umri sawa na huo miaka hamsini iliyipita. Watawala waache uroho wa madaraka kwa kutumia katiba inayowalinda wao tu.
 
katiba mpya ni lazima ilenge uwajibikaji
Ninalitazama hili katika nyanja ya uhandisi nafikiri kanuni tano za HAMMURABI KING OF BABYLON (1760) zitumike
 
Zakumi,
Mkuu wangu binafsi sikuiona hii toka zamani unajua tena sisi wengine tuko hooked up na Siasa..Mimi nadhani kuna maneno ya Nyerere aloyasema kuhusu Azimio la Arusha na muhimu sana sisi kujitambua na kuyatazama haya. Na kabla sijayagusia ningependa kujua tu ktk hali hii tutaweza vipi kuurudisha UZALENDO. hali ya kwamba kila Mtanzania atajivunia Utanzania wake na kuwa sehemu ya taifa hili ktk raha na taabu. Ni lazima kwanza tumalize swala la MUUNGANO kabla ya Katiba uwe vipi hivyo kura za maoni lazima zipigwe kwa sehemu zote mbili..Wazanzibar wanataka muugano gani na wabara wanataka muungano gani kisha kamati itaundwa kupata muafaka mpya iwe serikali tatu, moja au hivi hivi tulivyo..

Mambo nayotaka kuzungumzia ni sehemu mbili:- Kwanza ni vita yetu ktk kuondoa UMJASKINI,UJINGA na MARADHI maana haya maswala ndio sisi Watanzania, tusiyaonee aibu maana ndivyo tulivyo, hivyo katiba lazima itazame watu hawa kuunda DIRA ya Taifa. Katiba mpya itatokana na kipimo cha kufufua taifa linaloangamia..

Halafu Azimio linasema tena -Ili Tuendelee tunahitaji vitu vinne -1. ARDHI, 2.WATU, 3. SIASA SAFI na 4. UONGOZI BORA..

Katika haya ni lazima katiba ilinde mipaka ya Ardhi yetu kwa kuweka sheria zinazotambua sovereignty na nchi yetu kwa rasilimali na maliasili zake kuwa sehemu ya Utajiri wetu.
2. Watu wake ni kama hivyo tuwaondoe ktk Umaskini, Ujinga na Maradhi.
3. Siasa safi ni lazima vyama vya siasa viwe na itikadi infact kama ingewezekana tungeunda vyama viwili au vitatu tu halafu tukatoa mwanya kwa viongozi na wanachama wengine kujiunga na vyama hivyo kutokana na kile wanachoamini..

4. Uongozi bora hapa ndipo napopapenda zaidi maana kutokana na hali halisi ningeshauri tuwe na Rais ambaye ana mamlaka machache tu na pengine kuwa mtu wa mwisho kuchaguliwa ktk uchaguzi mkuu huyu atachaguliwa kama anavyochaguliwa Speaker bungeni kwa kura za imani - if possible.

Rais hatakuwa na role ktk kuongoza serikali, mahakama wala Bunge isipokuwa atakuwa na mamlaka juu ya vyombo hivyo. Kama Head of the state na Commanding in Chief, kuiwakilisha nchi yetu nje ya Nchi yetu ndani na nje ktk sherehe na maadhimisho yasokuwa ya kiserikali. Atakuwa rais wa Bara na visiwani na hana mshirika wala vice President..

Kisha tutakuwa na Waziri mkuu wa Jamhuri ya Muungano ambaye atapigiwa kura kama tunavyomchagua rais sasa hivi. Huyu atashika madaraka yote ya rais yaliyobakia na yale ya waziri mkuu isipokuwa Bungeni na mahakamani. Hatakuwa na kinga isipokuwa kwa amri ya rais na anaweza kuondolewa madarakani kwa kuitisha uchaguzi mpya miaka miwili baada ya uchaguzi kama itathibitika kufanya kinyume cha miiko na maadili. Vile vile tutakuwa na mawaziri wakuu wa Zanzibar na Bara badala ya rasi wa Zanzibar, makamu wa rais, waziri kiongozi na kadhalika.

Kama tutaafiki kuwa na serikali tatu tutakuwa na mabunge matatu, La bara, visiwani, na la Muungano. Mdaraka mikoani yarudishwe kila mkoa utachagua RC na DC wake, wabunge wataendelea kuchaguliwa na Halmashuri za miji zitapewa mamlaka kamili ya kukusanya kodi na kuweka mipango miji na kupewa mamlaka ya kuendesha nyuma zote za seriklali iwe msajili wa majumba au NHC ili zikodishwe kulingana na market rate na sio kuuzwa..

kwa leo nadhani nimeandika mengi sana inatosha...
 
Zakumi,
Mkuu wangu binafsi sikuiona hii toka zamani unajua tena sisi wengine tuko hooked up na Siasa..Mimi nadhani kuna maneno ya Nyerere aloyasema kuhusu Azimio la Arusha na muhimu sana sisi kujitambua na kuyatazama haya. Na kabla sijayagusia ningependa kujua tu ktk hali hii tutaweza vipi kuurudisha UZALENDO. hali ya kwamba kila Mtanzania atajivunia Utanzania wake na kuwa sehemu ya taifa hili ktk raha na taabu. Ni lazima kwanza tumalize swala la MUUNGANO kabla ya Katiba uwe vipi hivyo kura za maoni lazima zipigwe kwa sehemu zote mbili..Wazanzibar wanataka muugano gani na wabara wanataka muungano gani kisha kamati itaundwa kupata muafaka mpya iwe serikali tatu, moja au hivi hivi tulivyo..

Mambo nayotaka kuzungumzia ni sehemu mbili:- Kwanza ni vita yetu ktk kuondoa UMJASKINI,UJINGA na MARADHI maana haya maswala ndio sisi Watanzania, tusiyaonee aibu maana ndivyo tulivyo, hivyo katiba lazima itazame watu hawa kuunda DIRA ya Taifa. Katiba mpya itatokana na kipimo cha kufufua taifa linaloangamia..

Halafu Azimio linasema tena -Ili Tuendelee tunahitaji vitu vinne -1. ARDHI, 2.WATU, 3. SIASA SAFI na 4. UONGOZI BORA..

Katika haya ni lazima katiba ilinde mipaka ya Ardhi yetu kwa kuweka sheria zinazotambua sovereignty na nchi yetu kwa rasilimali na maliasili zake kuwa sehemu ya Utajiri wetu.
2. Watu wake ni kama hivyo tuwaondoe ktk Umaskini, Ujinga na Maradhi.
3. Siasa safi ni lazima vyama vya siasa viwe na itikadi infact kama ingewezekana tungeunda vyama viwili au vitatu tu halafu tukatoa mwanya kwa viongozi na wanachama wengine kujiunga na vyama hivyo kutokana na kile wanachoamini..

4. Uongozi bora hapa ndipo napopapenda zaidi maana kutokana na hali halisi ningeshauri tuwe na Rais ambaye ana mamlaka machache tu na pengine kuwa mtu wa mwisho kuchaguliwa ktk uchaguzi mkuu huyu atachaguliwa kama anavyochaguliwa Speaker bungeni kwa kura za imani - if possible.

Rais hatakuwa na role ktk kuongoza serikali, mahakama wala Bunge isipokuwa atakuwa na mamlaka juu ya vyombo hivyo. Kama Head of the state na Commanding in Chief, kuiwakilisha nchi yetu nje ya Nchi yetu ndani na nje ktk sherehe na maadhimisho yasokuwa ya kiserikali. Atakuwa rais wa Bara na visiwani na hana mshirika wala vice President..

Kisha tutakuwa na Waziri mkuu wa Jamhuri ya Muungano ambaye atapigiwa kura kama tunavyomchagua rais sasa hivi. Huyu atashika madaraka yote ya rais yaliyobakia na yale ya waziri mkuu isipokuwa Bungeni na mahakamani. Hatakuwa na kinga isipokuwa kwa amri ya rais na anaweza kuondolewa madarakani kwa kuitisha uchaguzi mpya miaka miwili baada ya uchaguzi kama itathibitika kufanya kinyume cha miiko na maadili. Vile vile tutakuwa na mawaziri wakuu wa Zanzibar na Bara badala ya rasi wa Zanzibar, makamu wa rais, waziri kiongozi na kadhalika.

Kama tutaafiki kuwa na serikali tatu tutakuwa na mabunge matatu, La bara, visiwani, na la Muungano. Mdaraka mikoani yarudishwe kila mkoa utachagua RC na DC wake, wabunge wataendelea kuchaguliwa na Halmashuri za miji zitapewa mamlaka kamili ya kukusanya kodi na kuweka mipango miji na kupewa mamlaka ya kuendesha nyuma zote za seriklali iwe msajili wa majumba au NHC ili zikodishwe kulingana na market rate na sio kuuzwa..

kwa leo nadhani nimeandika mengi sana inatosha...

Mkandara,

Uzalendo unarudishwa. Tatizo there's an elephant in the room ambaye anazuia maendeleo na tunamuonea aibu. Wakati wa Mwalimu, nchi zilizofanya mabadiliko makubwa ya kiuchumi ni Urusi na China. Zilifanya mabadiliko hayo kwa kuongezea madaraka rais hili afanye maamuzi magumu bila kuwa na ukiritimba.

Nchi za kiAfrika, ikiwemo Tanzania, nazo zikaiga mfumo huo hili kuleta mabadiliko ya haraka ambayo hayakutokea kutokana na matatizo katika executions.

Mfumo huu bado hupo Tanzania lakini hautumiki katika kuleta mabadiliko ya haraka na badala ya unatumika kuwaenzi marafiki wa viongozi wa juu wa serikali na chama tawala.

Uzalendo utarudi pale watu watakapopata mfumo mzuri wa utawala wenye kuleta matokeo.
 
Mkandara,

Uzalendo unarudishwa. Tatizo there's an elephant in the room ambaye anazuia maendeleo na tunamuonea aibu. Wakati wa Mwalimu, nchi zilizofanya mabadiliko makubwa ya kiuchumi ni Urusi na China. Zilifanya mabadiliko hayo kwa kuongezea madaraka rais hili afanye maamuzi magumu bila kuwa na ukiritimba.

Nchi za kiAfrika, ikiwemo Tanzania, nazo zikaiga mfumo huo hili kuleta mabadiliko ya haraka ambayo hayakutokea kutokana na matatizo katika executions.

Mfumo huu bado hupo Tanzania lakini hautumiki katika kuleta mabadiliko ya haraka na badala ya unatumika kuwaenzi marafiki wa viongozi wa juu wa serikali na chama tawala.

Uzalendo utarudi pale watu watakapopata mfumo mzuri wa utawala wenye kuleta matokeo.
Unaweza kushauri ni mfumo gani wa kiutawala unaofanana na sisi ama niseme hali tuliyopo ili kurudisha Uzalendo..
 
Unaweza kushauri ni mfumo gani wa kiutawala unaofanana na sisi ama niseme hali tuliyopo ili kurudisha Uzalendo..

Mkandara,

I believe the central government should be decentralized so people could solve their problems locally. More importantly, we should instill CAN-DO attitude in our people. They should believe they can go out there and win something. They should believe that they can go out there and compete in job market. They should believe that they are in equal terms with people from other nationalities.

Uzalendo is attitude, national identity, and pride. These three characteristics and probably others are in short supply in Tanzania because we have allowed mediocrity to prevail in all levels of sociaty. Take for example the time when Bayi and Nyambui were running the show. There were no TVs, but we used to listen news concerning them with great excitements because we knew if Bayi could beat people in his area of his expertise, We could do the same in our areas of expertise.

I still don't know who is Nyambui or Bayi. But the fact that they came from the geographic area we call Tanzania, they made us very proud.
 
Mhe. Tundu Lisu, Ushauri: kama inawezekana kisheria, ingieni Mahakamani ama kuzuia au kusimamisha Bunge maalum lisiendee. Nasema hivyo kwa sababu Rasimu ya Katiba ya tume ya Jaji Waryoba ndiyo Rasimu halali na inayostahili kuzungumziwa ktk Bunge hilo si vinginevyo!
 
Inanikumbusha debate za shule.
Mmeshapangwa kabisa nani for au against the motion. Kazi ni kutafuta point na swaga za kupresent tu.
Hakuna anayekuja na wazo jipya au kupokea wazo jipya.
 
I don't really understand type of the comedy is going on there.
If we want to get what we want, we have to ask those in constitution parliament to leave apart their party stands and speak what they feel as an individiul.
They have disapointed us because of there party stands.e
 
Let us speak the truth of what is happening in house.
I really don't understand what is right? Those we espected to give possive opinions on what is right and whats wrong have failed us. Is it right to agree with two or three and why?
 
I don't really understand the type of comedy is going on there.
If we want to get what we want, we have to ask those in constitution parliament to leave apart their party stands and speak what they feel as an individiul.
They have disapointed us because of there party stands.
 
Vijana wa sasa na wanaokuja kwa wingi wao wana sauti na kwa hiyo nguvu ya kuleta mababdiliko na maendeleo tunayoyataka kwa sababu wao hawana hang-over ya huko nyuma tunakotoka na ni rahisi zaidi kuwaonyesha njia na wakafuata njia nzuri. Kwahiyo tuwekeze kwa vijana. Katika sensa ijayo, kijana asibaki bila kuandikishwa ili kwa wingi wao baada ya sensa iwe ni sauti tosha ya kukubalika kwa mawazo na vitendo. Ukiongea na kijana maswala kama wabunge wasiteuliwe mawaziri ni rahisi, Dual citizenship ni rahisi, Kuwajibika au kumuwajibisha mtu kwao ni rahisi sana, dhana ya ufanisi kazini ni rahisi kwao, nk.. Hata mgombea binafsi eti naye ni tishio kwa wazee! Juzi Kabwe kasema yuko tayari kwa urais wazee wakaja juu, sababu wasiweze kusema hawezi ila ni mtoto bado wakati tujaribu wazee haikutosha na sasa tuna kijana bado tunasema haitoshi. Kwahiyo vigezo vya umri havina maana. Tunataka ya kuweza tu na siyo umri na sifa ya utayari wa kuwajibika na kuwajibishwa basi. Hili yeyote mwenye uwezo hata vijana wa sasa wanaweza bila haya na hasa kama Katiba inayokuja itwapa wananchi meno.

I don't really understand the type of comedy is going on there.
If we want to get what we want, we have to ask those in constitution parliament to leave apart their party stands and speak what they feel as an individiul.
They have disapointed us because of there party stands.

They can't understand, because of getting something from their parties.
 
Hawa wabunge wetu hawana hats dining wanajari matumbo yao. Ni vema wakarudi makwao maana tayari CCM alipanga katiba yao ya kuwalinda si rahisi kuruhusu Hii mpya itawamaliza. Wakikumbuka ya mwaka 1984 wakati wa Sokeine inaweza ikaibuka tena ya kuhujumu uchumi. Wako watu wana uchungu na nchi hii. Mheshimiwa Warioba alifanya kazi nzuri lakini ambao hawaitakii mema nchi hii wanadai ni mawazo yake binafisi wala si ya wananchi wa nchi Tanganyika name Zanzibar.
 
Back
Top Bottom