Maendeleo: Mkoa wa Dodoma wapokea gawio la Tsh mil 500 lililotokana na Tozo, kujenga vituo vya afya

Maendeleo: Mkoa wa Dodoma wapokea gawio la Tsh mil 500 lililotokana na Tozo, kujenga vituo vya afya

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Hii ni taarifa aliyoitoa Mkuu wa Mkoa huo, Antony Mtaka alipokuwa anawasilisha taarifa ndani ya vikao vya CCM vilivyofanyika mkoani humo.

 
Sisi tukifanya kikao chetu cha ndani tunakamatwa na kufunguliwa mashtaka ya ugaidi. Wao wakifanya kikao wanalindwa kwa walinzi wa miguu wenye silaha na wa angani wenye miavuli. pia. Tozo tukatwe wote tena kwa nguvu, kisha wagawane. Nshajichokea mimi.
 
Sisi tukifanya kikao chetu cha ndani tunakamatwa na kufunguliwa mashtaka ya ugaidi.Wao wakifanya kikao wanalindwa kwa walinzi wa miguu wenye silaha na wa angani wenye miavuli. pia.Tozo tukatwe wote tena kwa nguvu,kisha wagawane.Nshajichokea mimi.
 
Sisi tukifanya kikao chetu cha ndani tunakamatwa na kufunguliwa mashtaka ya ugaidi.Wao wakifanya kikao wanalindwa kwa walinzi wa miguu wenye silaha na wa angani wenye miavuli. pia.Tozo tukatwe wote tena kwa nguvu,kisha wagawane.Nshajichokea mimi.
 
Sisi tukifanya kikao chetu cha ndani tunakamatwa na kufunguliwa mashtaka ya ugaidi.Wao wakifanya kikao wanalindwa kwa walinzi wa miguu wenye silaha na wa angani wenye miavuli. pia.Tozo tukatwe wote tena kwa nguvu,kisha wagawane.Nshajichokea mimi.
Hamza jamani angekimbia tu ili na siku nyingine......
 
Huyo mtaka alivyo mpigaji pesa yote hiyo itapigwa
 
Tunatozwa tozo wapate posho za kugawana kwenye vikao. Nchi imelaaniwa.
Jamani, mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni. Hapa Kata 2 zinapata vituo vya afya, wewe bado unachelewa kuleta propaganda.

Tuzisifie juhudi za maendeleo. Maendeleo oyeeeeeeee. Milioni 500 oyeeeeee
 
Back
Top Bottom