Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hadi lini sasa mkuu
Mwanzo walivyoweka lile bango la ramani walikuwa wamekosea, waliligeuza kichwa chini miguu juu sasa nadhani bado wapo kwenye mipango ya kupeleka wale mafundi walioliweka bango ili waligeuze likae sawa!Hadi lini sasa mkuu
Aisee kumbe..ila ujenzi wanaanza lini mwaka huu au ujao?Mwanzo walivyoweka lile bango la ramani walikuwa wamekosea, waliligeuza kichwa chini miguu juu sasa nadhani bado wapo kwenye mipango ya kupeleka wale mafundi walioliweka bango ili waligeuze likae sawa!
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee,taarifa njema,jengo la Tanesco linapona kweli?wapo hatua nzuri wamemaliza mobilization walkuwa wanapma maji udongo na kujenga nyumba za wafanyakazi ndo maana pale kunafumuka maji maana wamebomoa muamba ili eneo liwe dry zaidi ingia YouTube Millard ayo karusha maendeleo yake
Imefikia kwenye lintaZege limefikia wapi ?
anhaa kumbe