Maendeleo ya Vitu vs Watu, vipi sasa hivi?

Maendeleo ya Vitu vs Watu, vipi sasa hivi?

Kijakazi

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2007
Posts
7,093
Reaction score
10,469
Wakati wa Magufuli alishutumiwa na Upinzani hasa CHADEMA kwamba ni maendeleo ya vitu yaani SGR, Ndege, Bwawa la kuzalisha umeme> 2000 MW, Flyovers vyote hivi walikejeli ni maendeleo ya vitu.

Sasa leo hii wako Madarakani kuna maendeleo ya nini? Maji hakuna, Umeme hakuna, Usalama wa raia na mali zake hakuna, Mikopo kwa Wanafunzi hakuna, wizi umetamalaki etc.

Kipi bora?
 
Chukua Chako Mapema ndio maendeleo yaliyoko huku dhahabu huku tanzanite huku ngada wewe hapo ulipo huwezi kutoka na dhahabu hata kilo moja India, China ila bongo kama kumsukuma mlevi tu ndani ya mwaka mmoja tu hukuna rangi hatujaoneshwa wakati wa simba wa yuda hizi habari zingeondoka na mtu afu kama tunaongozwa na raia wa kigeni asiye na uzalendo.

"Siku moja mtanikumbuka, na mimi najua mtanikumbuka kwa mazuri na sio kwa mabaya
"
 
ndio maana huwa tunasema shida ya hii nchi sio elimu kwa watu,bali elimu inaishi kwa akina nani!!!wenye elimu ndio hawa wanataka wawaaminishe kuna maendeleo ya watu kabla ya vitu[emoji23][emoji23][emoji23]

tofauti ya huyu mtu wa namna hii na yule anayezaa watoto 10 akiishi chini ya $1 kwa siku,akiamini kila mtoto huja na riziki yake ni hakuna.

labda ni njaa zinafanya watu wapige kelele kwa kila jambo.
 
Wakati wa Magufuli alishutumiwa na Upinzani hasa CHADEMA kwamba ni maendeleo ya vitu yaani SGR, Ndege, Bwawa la kuzalisha umeme> 2000 MW, Flyovers vyote hivi walikejeli ni maendeleo ya vitu.

Sasa leo hii wako Madarakani kuna maendeleo ya nini? Maji hakuna, Umeme hakuna, Usalama wa raia na mali zake hakuna, Mikopo kwa Wanafunzi hakuna, wizi umetamalaki etc.

Kipi bora?
We utakuwa umelewa wanzuki. Nani kakwambia eti chadema wako madarakani!!
 
Wakati wa Magufuli alishutumiwa na Upinzani hasa CHADEMA kwamba ni maendeleo ya vitu yaani SGR, Ndege, Bwawa la kuzalisha umeme> 2000 MW, Flyovers vyote hivi walikejeli ni maendeleo ya vitu.

Sasa leo hii wako Madarakani kuna maendeleo ya nini? Maji hakuna, Umeme hakuna, Usalama wa raia na mali zake hakuna, Mikopo kwa Wanafunzi hakuna, wizi umetamalaki etc.

Kipi bora?
Unawazungumzia akina nani wapo madarakani?
 
Naamini akina January, Mwigulu na Biteko..watatuvusha, tuwape muda! Au nasema Kongo Ndugu zangu!!!!

Nimepungukiwa nauli hapa nipo Lusumo naelekea Bunjumbula!
 
Back
Top Bottom