Maendeleo yanaanzia kwenye fikra chanya na huru

Maendeleo yanaanzia kwenye fikra chanya na huru

winnerian

JF-Expert Member
Joined
Jul 12, 2015
Posts
379
Reaction score
603
Tanzania hatuna uwezo wa kutengeneza karatasi sembuse uzi wa kishona nguo.

Kwa miaka 60 fikra zetu zimeshikiliwa na siasa. Sio wananchi pekee bali kuanzia viongozi wa ngazi ya juuu kabisa hadi chini.

Fikra chanya na huru ndio maendeleo yenyewe au la tuamue kutumia mfupi wa kijima kama China lakini uwajibishwaji uwe kwa asilimia 100.
 
Back
Top Bottom