Maeneo aliyoyatolea ufafanuzi Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa

Maeneo aliyoyatolea ufafanuzi Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa

BWANKU M BWANKU

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2019
Posts
377
Reaction score
435
Mapema leo Jumamosi Agosti 28, 2021 Msemaji wa Serikali Ndugu Gerson Msigwa- amezungumza na Waandishi wa habarih katika Ofisi za Habari-Maelezo Jijini Dodoma. Haya ndiyo aliyoyazungumza Ndugu Msigwa wakati akitolea ufafanuzi wa masuala mbalimbali ya Serikali. Haya ni sehemu ya maeneo aliyoyatolea ufafanuzi.

"Kauli, uamuzi na msimamo rasmi wa Serikali kuhusu suala la sintofahamu ya tozo ya miamala ya simu utatolewa Agosti 31, 2021 baada ya taratibu za ndani kukamilika baada ya ripoti ya ukusanyaji maoni kutoka kwa wananchi kupelekwa kwa Waziri Mkuu Mhe.Kassim Majaliwa."

"Serikali imetenga kiasi cha Shilingi bilioni 149 kwa ajili ya kuanzah kutekeleza mpango wa Bima kwa wote. Serikali itawasilisha Muswada wa Sheria ya Huduma ya Bima kwa Wote katikah Kikao cha Bunge la Septemba mwaka huu na kwamba kiasi kilichotengwa ni cha awali na kitaanza kwa makundi maalumu."

"Ujenzi wa mradi wa kimkakati wa kufua umeme wa Julius Nyerere (JNHPP) unaendelea vizuri na ujenzi wake umefikia 57%. Serikali kupitia TANESCO inaendelea kununua vifaa mbalimbali vya ujenzi vya kukamilisha ujenzi huo.”

"Serikali tayari imefanya malipo ya awali ya ndege mpya 5, ikiwepo ndege kubwa 1 ya mizigo na zinatarajiwa kuwasili mwaka 2023."

"Kumekuwa na malalamiko ya vifurushi vimepanda lakini niwaambie sisi ni kati ya nchi 5 Afrika zenye gharama za chini za bando. Ziko baadhi ya nchi za Ulaya ambazo gharama zake ni kubwa, ninafahamu iko nchi ambayo unanunua GB 1 kwa Dola 15".

"Serikali imewekeza Bilioni 600 katika mkongo wa Mawasiliano wa Taifa ili kutoa huduma na kuleta nafuu kwa watumiaji wa huduma za simu ikiwemo kupiga na data."

"Tanzania ni miongoni mwa nchi 5 Barani Afrika ambazo zina gharama ndogo na nafuu katika mawasiliano. Licha ya changamoto za kupanda kwa gharama hizi, lakini bado gharama hizi ni nafuu. Kuna mfano wa nchi moja huko nje, gharama ya GB moja ni dola za kimarekani 15.”

"Serikali imetoa Shilingi bilioni 50 kuipa TTCL ili kupeleka huduma ya mawasiliano katika maeneo ambayo hayana mawasiliano hapa nchini.”

"Mapato kutokana na Bandari yameongezeka kutoka shilingi bilioni 525.4 hadi shilingi bilioni 531, bandari zetu zimeendelea kufanya vizuri licha ya changamoto za Ugonjwa wa Uviko-19 duniani.”

"Bandari yetu ya Dar es Salaam wiki tatu zilizopita imeandika rekodi kubwa kwa Bara la Afrika, ambapo kupitia gati maalumu ilifanikiwa kupokea magari 3,743, na asilimia 65 ya magari hayo (magari 2945) yalikuwa yanapelekewa nje ya nchi.”

"Hadi kufikia mwezi Machi, 2022 Bandari ya Karema itaanza kufanya kazi, hali itakayopelekea kupanua wigo wa usafirishaji mizigo kwenda nje ya nchi.”

"Hadi kufikia mwezi Machi, 2022 Bandari ya Karema itaanza kufanya kazi, hali itakayopelekea kupanua wigo wa usafirishaji mizigo kwenda nje ya nchi.”

"Serikali imetenga kiasi cha Shilingi bilioni 149 kwa ajili ya kuanzan kutekeleza mpango wa Bima kwa wote. Serikali itawasilisha Muswada wa Sheria ya Huduma ya Bima kwa Wote katika Kikao cha Bunge la Septemba mwaka huu na kwamba kiasi kilichotengwa ni cha awali na kitaanza kwa makundi maalumu."

"Serikali imeshaweka oda ya vichwa 10 vya Treni ya( umeme ambavyo majaribio yake yanatarajiwa kuanza wakati wowote kati ya Dar es salaam na Morogoro,kila kichwa kimoja kitabeba mabehewa nane hivyo kutakuwa na mabehewa 80."

#KaziInaendelea
 
Hiyo ni nchi gani huko nje Gb 1 dola 15 ambapo kwa pesa yetu ya madafu ni elfu 34 na chenchi juu.

Kuna maneno unajiuliza hivi huyu anayeongea ana akili timamu kweli.
 
Mapema leo Jumamosi Agosti 28, 2021 Msemaji wa Serikali Ndugu Gerson Msigwa- amezungumza na Waandishi wa habarih katika Ofisi za Habari-Maelezo Jijini Dodoma. Haya ndiyo aliyoyazungumza Ndugu Msigwa wakati akitolea ufafanuzi wa masuala mbalimbali ya Serikali. Haya ni sehemu ya maeneo aliyoyatolea ufafanuzi.

"Kauli, uamuzi na msimamo rasmi wa Serikali kuhusu suala la sintofahamu ya tozo ya miamala ya simu utatolewa Agosti 31, 2021 baada ya taratibu za ndani kukamilika baada ya ripoti ya ukusanyaji maoni kutoka kwa wananchi kupelekwa kwa Waziri Mkuu Mhe.Kassim Majaliwa."

"Serikali imetenga kiasi cha Shilingi bilioni 149 kwa ajili ya kuanzah kutekeleza mpango wa Bima kwa wote. Serikali itawasilisha Muswada wa Sheria ya Huduma ya Bima kwa Wote katikah Kikao cha Bunge la Septemba mwaka huu na kwamba kiasi kilichotengwa ni cha awali na kitaanza kwa makundi maalumu."

"Ujenzi wa mradi wa kimkakati wa kufua umeme wa Julius Nyerere (JNHPP) unaendelea vizuri na ujenzi wake umefikia 57%. Serikali kupitia TANESCO inaendelea kununua vifaa mbalimbali vya ujenzi vya kukamilisha ujenzi huo.”

"Serikali tayari imefanya malipo ya awali ya ndege mpya 5, ikiwepo ndege kubwa 1 ya mizigo na zinatarajiwa kuwasili mwaka 2023."

"Kumekuwa na malalamiko ya vifurushi vimepanda lakini niwaambie sisi ni kati ya nchi 5 Afrika zenye gharama za chini za bando. Ziko baadhi ya nchi za Ulaya ambazo gharama zake ni kubwa, ninafahamu iko nchi ambayo unanunua GB 1 kwa Dola 15".

"Serikali imewekeza Bilioni 600 katika mkongo wa Mawasiliano wa Taifa ili kutoa huduma na kuleta nafuu kwa watumiaji wa huduma za simu ikiwemo kupiga na data."

"Tanzania ni miongoni mwa nchi 5 Barani Afrika ambazo zina gharama ndogo na nafuu katika mawasiliano. Licha ya changamoto za kupanda kwa gharama hizi, lakini bado gharama hizi ni nafuu. Kuna mfano wa nchi moja huko nje, gharama ya GB moja ni dola za kimarekani 15.”

"Serikali imetoa Shilingi bilioni 50 kuipa TTCL ili kupeleka huduma ya mawasiliano katika maeneo ambayo hayana mawasiliano hapa nchini.”

"Mapato kutokana na Bandari yameongezeka kutoka shilingi bilioni 525.4 hadi shilingi bilioni 531, bandari zetu zimeendelea kufanya vizuri licha ya changamoto za Ugonjwa wa Uviko-19 duniani.”

"Bandari yetu ya Dar es Salaam wiki tatu zilizopita imeandika rekodi kubwa kwa Bara la Afrika, ambapo kupitia gati maalumu ilifanikiwa kupokea magari 3,743, na asilimia 65 ya magari hayo (magari 2945) yalikuwa yanapelekewa nje ya nchi.”

"Hadi kufikia mwezi Machi, 2022 Bandari ya Karema itaanza kufanya kazi, hali itakayopelekea kupanua wigo wa usafirishaji mizigo kwenda nje ya nchi.”

"Hadi kufikia mwezi Machi, 2022 Bandari ya Karema itaanza kufanya kazi, hali itakayopelekea kupanua wigo wa usafirishaji mizigo kwenda nje ya nchi.”

"Serikali imetenga kiasi cha Shilingi bilioni 149 kwa ajili ya kuanzan kutekeleza mpango wa Bima kwa wote. Serikali itawasilisha Muswada wa Sheria ya Huduma ya Bima kwa Wote katika Kikao cha Bunge la Septemba mwaka huu na kwamba kiasi kilichotengwa ni cha awali na kitaanza kwa makundi maalumu."

"Serikali imeshaweka oda ya vichwa 10 vya Treni ya( umeme ambavyo majaribio yake yanatarajiwa kuanza wakati wowote kati ya Dar es salaam na Morogoro,kila kichwa kimoja kitabeba mabehewa nane hivyo kutakuwa na mabehewa 80."

#KaziInaendelea
Je kipato cha mtanzania huyu anayesemwa kina shabihi huo unafuu unaotajwa? Je hizo nchi zingine ambako inadaiwa GB1 ni $15 ziko sayari ipi? au ni satelite phone? Unaweza kuumwa kichwa mambo ya wenye midomo nchi hii
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Mapema leo Jumamosi Agosti 28, 2021 Msemaji wa Serikali Ndugu Gerson Msigwa- amezungumza na Waandishi wa habarih katika Ofisi za Habari-Maelezo Jijini Dodoma. Haya ndiyo aliyoyazungumza Ndugu Msigwa wakati akitolea ufafanuzi wa masuala mbalimbali ya Serikali. Haya ni sehemu ya maeneo aliyoyatolea ufafanuzi.

"Kauli, uamuzi na msimamo rasmi wa Serikali kuhusu suala la sintofahamu ya tozo ya miamala ya simu utatolewa Agosti 31, 2021 baada ya taratibu za ndani kukamilika baada ya ripoti ya ukusanyaji maoni kutoka kwa wananchi kupelekwa kwa Waziri Mkuu Mhe.Kassim Majaliwa."

"Serikali imetenga kiasi cha Shilingi bilioni 149 kwa ajili ya kuanzah kutekeleza mpango wa Bima kwa wote. Serikali itawasilisha Muswada wa Sheria ya Huduma ya Bima kwa Wote katikah Kikao cha Bunge la Septemba mwaka huu na kwamba kiasi kilichotengwa ni cha awali na kitaanza kwa makundi maalumu."

"Ujenzi wa mradi wa kimkakati wa kufua umeme wa Julius Nyerere (JNHPP) unaendelea vizuri na ujenzi wake umefikia 57%. Serikali kupitia TANESCO inaendelea kununua vifaa mbalimbali vya ujenzi vya kukamilisha ujenzi huo.”

"Serikali tayari imefanya malipo ya awali ya ndege mpya 5, ikiwepo ndege kubwa 1 ya mizigo na zinatarajiwa kuwasili mwaka 2023."

"Kumekuwa na malalamiko ya vifurushi vimepanda lakini niwaambie sisi ni kati ya nchi 5 Afrika zenye gharama za chini za bando. Ziko baadhi ya nchi za Ulaya ambazo gharama zake ni kubwa, ninafahamu iko nchi ambayo unanunua GB 1 kwa Dola 15".

"Serikali imewekeza Bilioni 600 katika mkongo wa Mawasiliano wa Taifa ili kutoa huduma na kuleta nafuu kwa watumiaji wa huduma za simu ikiwemo kupiga na data."

"Tanzania ni miongoni mwa nchi 5 Barani Afrika ambazo zina gharama ndogo na nafuu katika mawasiliano. Licha ya changamoto za kupanda kwa gharama hizi, lakini bado gharama hizi ni nafuu. Kuna mfano wa nchi moja huko nje, gharama ya GB moja ni dola za kimarekani 15.”

"Serikali imetoa Shilingi bilioni 50 kuipa TTCL ili kupeleka huduma ya mawasiliano katika maeneo ambayo hayana mawasiliano hapa nchini.”

"Mapato kutokana na Bandari yameongezeka kutoka shilingi bilioni 525.4 hadi shilingi bilioni 531, bandari zetu zimeendelea kufanya vizuri licha ya changamoto za Ugonjwa wa Uviko-19 duniani.”

"Bandari yetu ya Dar es Salaam wiki tatu zilizopita imeandika rekodi kubwa kwa Bara la Afrika, ambapo kupitia gati maalumu ilifanikiwa kupokea magari 3,743, na asilimia 65 ya magari hayo (magari 2945) yalikuwa yanapelekewa nje ya nchi.”

"Hadi kufikia mwezi Machi, 2022 Bandari ya Karema itaanza kufanya kazi, hali itakayopelekea kupanua wigo wa usafirishaji mizigo kwenda nje ya nchi.”

"Hadi kufikia mwezi Machi, 2022 Bandari ya Karema itaanza kufanya kazi, hali itakayopelekea kupanua wigo wa usafirishaji mizigo kwenda nje ya nchi.”

"Serikali imetenga kiasi cha Shilingi bilioni 149 kwa ajili ya kuanzan kutekeleza mpango wa Bima kwa wote. Serikali itawasilisha Muswada wa Sheria ya Huduma ya Bima kwa Wote katika Kikao cha Bunge la Septemba mwaka huu na kwamba kiasi kilichotengwa ni cha awali na kitaanza kwa makundi maalumu."

"Serikali imeshaweka oda ya vichwa 10 vya Treni ya( umeme ambavyo majaribio yake yanatarajiwa kuanza wakati wowote kati ya Dar es salaam na Morogoro,kila kichwa kimoja kitabeba mabehewa nane hivyo kutakuwa na mabehewa 80."

#KaziInaendelea
Hizi ngonjera tushazizoea. Wako wanaendelea kupiga.
Unachukua hela kwa mashirika then unasema unawapa (TTCL) !?!
 
Akuna jambo linenikuna kama kuambiwa soon mabehewa ya SGR yanaingia yasha agizwa big up Tz
 
Mapema leo Jumamosi Agosti 28, 2021 Msemaji wa Serikali Ndugu Gerson Msigwa- amezungumza na Waandishi wa habarih katika Ofisi za Habari-Maelezo Jijini Dodoma. Haya ndiyo aliyoyazungumza Ndugu Msigwa wakati akitolea ufafanuzi wa masuala mbalimbali ya Serikali. Haya ni sehemu ya maeneo aliyoyatolea ufafanuzi.

"Kauli, uamuzi na msimamo rasmi wa Serikali kuhusu suala la sintofahamu ya tozo ya miamala ya simu utatolewa Agosti 31, 2021 baada ya taratibu za ndani kukamilika baada ya ripoti ya ukusanyaji maoni kutoka kwa wananchi kupelekwa kwa Waziri Mkuu Mhe.Kassim Majaliwa."

"Serikali imetenga kiasi cha Shilingi bilioni 149 kwa ajili ya kuanzah kutekeleza mpango wa Bima kwa wote. Serikali itawasilisha Muswada wa Sheria ya Huduma ya Bima kwa Wote katikah Kikao cha Bunge la Septemba mwaka huu na kwamba kiasi kilichotengwa ni cha awali na kitaanza kwa makundi maalumu."

"Ujenzi wa mradi wa kimkakati wa kufua umeme wa Julius Nyerere (JNHPP) unaendelea vizuri na ujenzi wake umefikia 57%. Serikali kupitia TANESCO inaendelea kununua vifaa mbalimbali vya ujenzi vya kukamilisha ujenzi huo.”

"Serikali tayari imefanya malipo ya awali ya ndege mpya 5, ikiwepo ndege kubwa 1 ya mizigo na zinatarajiwa kuwasili mwaka 2023."

"Kumekuwa na malalamiko ya vifurushi vimepanda lakini niwaambie sisi ni kati ya nchi 5 Afrika zenye gharama za chini za bando. Ziko baadhi ya nchi za Ulaya ambazo gharama zake ni kubwa, ninafahamu iko nchi ambayo unanunua GB 1 kwa Dola 15".

"Serikali imewekeza Bilioni 600 katika mkongo wa Mawasiliano wa Taifa ili kutoa huduma na kuleta nafuu kwa watumiaji wa huduma za simu ikiwemo kupiga na data."

"Tanzania ni miongoni mwa nchi 5 Barani Afrika ambazo zina gharama ndogo na nafuu katika mawasiliano. Licha ya changamoto za kupanda kwa gharama hizi, lakini bado gharama hizi ni nafuu. Kuna mfano wa nchi moja huko nje, gharama ya GB moja ni dola za kimarekani 15.”

"Serikali imetoa Shilingi bilioni 50 kuipa TTCL ili kupeleka huduma ya mawasiliano katika maeneo ambayo hayana mawasiliano hapa nchini.
ivi biashara ya ndege zote hizo kwa mkupuo ina faida kweli au ndo mnatubebesha tu gharama za kulipa mishahara na maintanance. Zilizopo tu bado hazifanyi vizuri , tungeenda step by step ingekua vizuri zaidi.
 
Mapema leo Jumamosi Agosti 28, 2021 Msemaji wa Serikali Ndugu Gerson Msigwa- amezungumza na Waandishi wa habarih katika Ofisi za Habari-Maelezo Jijini Dodoma. Haya ndiyo aliyoyazungumza Ndugu Msigwa wakati akitolea ufafanuzi wa masuala mbalimbali ya Serikali. Haya ni sehemu ya maeneo aliyoyatolea ufafanuzi.

"Kauli, uamuzi na msimamo rasmi wa Serikali kuhusu suala la sintofahamu ya tozo ya miamala ya simu utatolewa Agosti 31, 2021 baada ya taratibu za ndani kukamilika baada ya ripoti ya ukusanyaji maoni kutoka kwa wananchi kupelekwa kwa Waziri Mkuu Mhe.Kassim Majaliwa."

"Serikali imetenga kiasi cha Shilingi bilioni 149 kwa ajili ya kuanzah kutekeleza mpango wa Bima kwa wote. Serikali itawasilisha Muswada wa Sheria ya Huduma ya Bima kwa Wote katikah Kikao cha Bunge la Septemba mwaka huu na kwamba kiasi kilichotengwa ni cha awali na kitaanza kwa makundi maalumu."

"Ujenzi wa mradi wa kimkakati wa kufua umeme wa Julius Nyerere (JNHPP) unaendelea vizuri na ujenzi wake umefikia 57%. Serikali kupitia TANESCO inaendelea kununua vifaa mbalimbali vya ujenzi vya kukamilisha ujenzi huo.”

"Serikali tayari imefanya malipo ya awali ya ndege mpya 5, ikiwepo ndege kubwa 1 ya mizigo na zinatarajiwa kuwasili mwaka 2023."

"Kumekuwa na malalamiko ya vifurushi vimepanda lakini niwaambie sisi ni kati ya nchi 5 Afrika zenye gharama za chini za bando. Ziko baadhi ya nchi za Ulaya ambazo gharama zake ni kubwa, ninafahamu iko nchi ambayo unanunua GB 1 kwa Dola 15".

"Serikali imewekeza Bilioni 600 katika mkongo wa Mawasiliano wa Taifa ili kutoa huduma na kuleta nafuu kwa watumiaji wa huduma za simu ikiwemo kupiga na data."

"Tanzania ni miongoni mwa nchi 5 Barani Afrika ambazo zina gharama ndogo na nafuu katika mawasiliano. Licha ya changamoto za kupanda kwa gharama hizi, lakini bado gharama hizi ni nafuu. Kuna mfano wa nchi moja huko nje, gharama ya GB moja ni dola za kimarekani 15.”

"Serikali imetoa Shilingi bilioni 50 kuipa TTCL ili kupeleka huduma ya mawasiliano katika maeneo ambayo hayana mawasiliano hapa nchini.
ivi biashara ya ndege zote hizo kwa mkupuo ina faida kweli au ndo mnatubebesha tu gharama za kulipa mishahara na maintanance. Zilizopo tu bado hazifanyi vizuri , tungeenda step by step ingekua vizuri zaidi.
 
Kama hivi
1bcd9fc43139b84d9d0abb17f2df7fef.jpg
 
Watanunua hayo mandege na hiyo treni na hayo mabehewa na kisha watakamua wananchi kodi wapate hela za kuendeshea hiyo treni na kuendesha ATCL.

Hii serikali ni kama haina wachumi, wataalamu wa bajeti na watu wa mipango, bali wanasiasa ndio wanasiasa ndio wanaonekana kufanya hizi kazi za wataalamu, na tozo ni ushahidi tosha wa kukosekana weledi katika hii serikali kama ilivyokuwa wakati wa Mwendazake.

Pathetic!
 
Back
Top Bottom