Maeneo aliyoyatolea ufafanuzi Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa

Chama cha siasa ni chadema ndicho chenye wanasiasa huko kuna wataalamu wa uchumi ndio maana pesa za midege, ufipa michango inachangwa faini zinarudishwa ofisi haina:R.I.P CHACHA WANGWE yote yalikufika kwa uthubutu wa kuhoji!
 
Hapo kwenye manunuzi ya mandege ndio mnanichefua kabisaaa.Sijui nani kawaroga.

Bima ya Afya safi ila sasa bima bila kuwa na vituo vya kutosha vya kutolea huduma ni changamoto,pia vituo viimarishwe maana sasa hivi ni kama vimejengwa kwa ajili ya kujifungulia wanawake tuu.
 
Je kipato cha mtanzania huyu anayesemwa kina shabihi huo unafuu unaotajwa? Je hizo nchi zingine ambako inadaiwa GB1 ni $15 ziko sayari ipi? au ni satelite phone? Unaweza kuumwa kichwa mambo ya wenye midomo nchi hii
Wamesema wameweka bil.600 kwenye mkonga ukikamilika bei zitapungua, nadhani ulimsikia na Mwigulu na Ndungulile walizungumzia hili.

So vuta subira
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…