ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Ni kabinamu changu ila undugu wa mbali kidogo wa ma bibi na mabibi huko alafu ni kapeace kishenzi kametoka Katavi huko hakajawahi kufika Dar hata siku moja ila kamewahi kwenda Arusha sasa juzi tumekutanishwa home na kwa hizi siku tatu kangependa kakate kiu ya kulifurahia jiji hili la raha na karaha, tour ikienda vizuri huenda nikatunukiwa kaposho cha bia nitapata.
Nimeandaa Mliman City, Kariakoo, Posta, Masaki, Coco, kwenye panton na mwendo kasi.
Kama kuna mwongozo mwingine niongezeeni sehemu gani hupaswi kuacha kumpeleka mgeni wako mpendwa Dar es Salaam ili ajionee magari na majengo yasiyopatikana mkoa. Je, ni Mbezi au Sinza au kawe au morocco au mikocheni au changombe au kurasini wapi nijichukulie ujiko.
NB: Sina motokaa tunatumia usafiri wa umma.
Nimeandaa Mliman City, Kariakoo, Posta, Masaki, Coco, kwenye panton na mwendo kasi.
Kama kuna mwongozo mwingine niongezeeni sehemu gani hupaswi kuacha kumpeleka mgeni wako mpendwa Dar es Salaam ili ajionee magari na majengo yasiyopatikana mkoa. Je, ni Mbezi au Sinza au kawe au morocco au mikocheni au changombe au kurasini wapi nijichukulie ujiko.
NB: Sina motokaa tunatumia usafiri wa umma.